Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,688
- 1,281
lakiii unajua kuna mbinu mpya imegundulika namna ya kuiblock simu yako unapolala kwa CALL BARRING!ukiweka hiyo unamuachia simu wife hata siku mbili haiiti,wala sms haiingii lakini inatoa tu
vipi niiweke hadharani..........?
Geoff, tuwekee tuokoe hizi ndoa, kwani wake tunawapenda lakini vibinti navyo, mmmmmm!!!!