MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Mimi hizi topic za namna hii huwa sipendi kuchangia zinanikumbushiaga machungu.
Wangu alikuwa ni yule wa YAKE YAKE YANGU YAKE. Nikitoka kazini tu anaponipick anachukua simu yangu na kuiweka mfukoni kwake ndo huipati hadi kesho anapokushusha ofcn asubuhi. Akifika nyumbani anaikaguaaaaaa na maswali anayatunga mbona hii hapa missed call haina jina ni nani? Mwambie ni mtu alinibeep simjui ni kosa unamjua na ndo mana hujasave jina yaani ni kwesi. But ya kwake kwanza ina pin code kama nne kisha kila aingiapo ****** yuko nayo yaani hadi akilala anaiweka chini ya mto wake ah!! Bahati yake sikuwaga na tabia ya ugomvi.
Wangu alikuwa ni yule wa YAKE YAKE YANGU YAKE. Nikitoka kazini tu anaponipick anachukua simu yangu na kuiweka mfukoni kwake ndo huipati hadi kesho anapokushusha ofcn asubuhi. Akifika nyumbani anaikaguaaaaaa na maswali anayatunga mbona hii hapa missed call haina jina ni nani? Mwambie ni mtu alinibeep simjui ni kosa unamjua na ndo mana hujasave jina yaani ni kwesi. But ya kwake kwanza ina pin code kama nne kisha kila aingiapo ****** yuko nayo yaani hadi akilala anaiweka chini ya mto wake ah!! Bahati yake sikuwaga na tabia ya ugomvi.