Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
mimi naangaliaga simu yake mbele yake na yeye anaangalia ya kwangu mbele yangu huku nikimkodolea macho hamna kujificha ficha wala nini
mie ya kwangu atapokea calls/atanisomea sms wakati mwingine anaweza kukuuliza, nimjibuje huyu, lakini ya kwake mie wallaa, cjui nijifunze kuichokonoa sasa mana anajiaminigi sana kwamba cwez kuingia humo....ngoja nifanye practical weekend hii.