This is name calling!Maralia sugu =Rejao? Msaada plz maana napata utata na kupotea kwa Ms na kuibuka kwa rejao.
Ofcourse ukizingatia makubwa aliyoyafanya Igunga hahahahahahaha!!!!!!!!!!!!!!!!!
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...ni-yepi-3.html
tusubiri 2015!!!
Kuna taarifa nimepata sasa hivi kuwa hakuna uwezekano wa matokeo ya mwisho kutangazwa leo. Yatatangazwa kesho asubuhi saa nne. Sababu kuna maeneo mvua imenyesha sana watachelewa kufikisha masanduku halmashauri na kukamilisha zoezi la kujumlisha leo. Usiku mwema.
Jamani naona kama mnaboa vile, hii mana inahusu matokeo ya uchanguzi Igunga ila mmetuhamisha hadi flow ya matokeo hatuipati tena, kwanini msitumie busara zenu, kama mnazo hayo yenu mtumiane via utaratibu mwingine?????Mmesababisha hii thread kupoteza mvuto kwa wanaofwatilia matokeo ya uchaguzi Igunga na kwingineko. Huu mtazamo wangu tu.Walaa usiwe na shaka, FF burdaan wa sharaba, na nala raha kwenye ka ipad kapya kenye wifi na 3g, kwa raha zangu.
Si unaona mwenyewe katika hiyo nyuzi mpaka vibanda vina bati.
Unamaanisha CDM wamepoteza?
Habari ndio hiyo!Unamaanisha CDM wamepoteza?
Wewe ndio unaifanya kuwa Chit Chat kutokana na misemo yako ya kimbea mbea!Duh..!! badala ya kupena habari za matokeo sasa hii imekuwa Chit Chat..., anyway kumbukeni
It aint over until the fat lady sings....; Pia...;
He who laugh last laugh longest
Unamaanisha Masako? vipi matokeo ya Igunga? umeshayapata? mimi sitaki kukujuza niliyoyapata kwa njia ya simu sasa hivi, nakungoja mwenyeewe, ususe!
Umekosa cha kuandiaka?So Rejao is back again? Thanx, tupe na update maana tunakuaminia kwa kutumwa.
Sasa Mbona Mnamwita Mwizi, Gamba koko, Anakichafua Chama, Fisadi n.k
matokeo ya kata 10 yanaonesha kuwa CCM imepata kura 10,228 wakati CDM imepata kura 7316 hivyo CCM inaongoza kwa kura 2912!