Pelekaroho
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 1,599
- 368
nilifikili unasherehekea matokeo ya std7, kwenda sekondari ya kata!Wana ccm tangu saa moja tunasherekea ushinda.
nilifikili unasherehekea matokeo ya std7, kwenda sekondari ya kata!Wana ccm tangu saa moja tunasherekea ushinda.
Kuna taarifa nimepata sasa hivi kuwa hakuna uwezekano wa matokeo ya mwisho kutangazwa leo. Yatatangazwa kesho asubuhi saa nne. Sababu kuna maeneo mvua imenyesha sana watachelewa kufikisha masanduku halmashauri na kukamilisha zoezi la kujumlisha leo. Usiku mwema.
Kutokana na ushabiki mnaoonyesha inakuwa ngumu kuamini data hizi. Ngoja tupate kwa member ambao ni impartual.Habari mpya za matokeo ua Igunga zinasema CCM inaongoza kwa zaidi ya kura 2000 mpaka sasa, si rasmi lakini ni habari za kuaminika kutoka jikoni. Unalo? Achana na mapumulio yangu kwa sasa, shughulika na yako.
mkuu mimi nipo mrengo wa kati!tuweke ushabiki pembeni!
Jamvi limechafuka nafikiri FF na wote mnaojibizana kwa maneno yasiyo na maadili mmetumia mambo fulani, haiwezekani mtu mwenye utimamu wa akili anaongea mambo ya kipuuzi kabiasa.
Usikereke darling, Igunga CCM inaongoza kwa mujibu wa Saint Ivuga.
FF tafadhali
Tujali maslahi ya thread
kurushiana maneno hakusaidiii