Naona watoto mmeamua kutukanana sasa eeh?Mkachagua kuja jf kuonesha umahiri wa kutukana?Ngoja matokeo yaje mna div ziro tuone umahiri wenu wa kufeli!!Na ww leonard uko chuo udisko ndo ujue!
Tatizo ni nini watu wanakua na kigugumizi. Tangazeni matokeo ya kidato cha nne 2011 ili watu wajue cha kufanya.maana wanafunzi wenyewe sasa hivi wanakosa amani.
Necta, watoeni watanzania wasiwasi ili waangalie mambo mengine ya kufanya. Wanamajukumu mengi mazito na siyo kusubiria matokeo ya mtihani wa kidato cha nne 2011 tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.