Asante sana, umeeleweka vzuri mkuuUwe na kama sh elfu 96 mfuko wa shati.
Utaenda kituo unachopenda kufanyia mtihani utapewa reference number inaghalimu SI chini ya elfu 20 Kwa vituo vingi.
then kimbia posta wao watafanya malipo ya mtihani Kwa Baraza au watakupa control number ukalipie mara nyingi wao ndio ulipa.
Ada ya mtihani inategemea na muda kadri unavyochelewa ndio inapanda Kwa nyongeza ya sh elfu 15.
then utapewa option ya kuchagua masomo ya kurudia uyatakayo kama yatakuwa ya sayansi na unaitaji kufanya real practical utaongeza elfu 30 kwenye ghalama za msingi.
Asante 🙏 mengineyo wataongeza wadau
Asante sana, umeeleweka vzuri mkuuUwe na kama sh elfu 96 mfuko wa shati.
Utaenda kituo unachopenda kufanyia mtihani utapewa reference number inaghalimu SI chini ya elfu 20 Kwa vituo vingi.
then kimbia posta wao watafanya malipo ya mtihani Kwa Baraza au watakupa control number ukalipie mara nyingi wao ndio ulipa.
Ada ya mtihani inategemea na muda kadri unavyochelewa ndio inapanda Kwa nyongeza ya sh elfu 15.
then utapewa option ya kuchagua masomo ya kurudia uyatakayo kama yatakuwa ya sayansi na unaitaji kufanya real practical utaongeza elfu 30 kwenye ghalama za msingi.
Asante 🙏 mengineyo wataongeza wadau