Anguko la CCM Arumeru Mashariki na Mgombea wake Sioi Sumari aka Mkwe wa EL ni teke la mwisho la fisadi Edward N. Lowassa. Kwasasa sioni muujiza wowote wa kumnusuri EL hasa baa ya kulazimisha kupanda jukwaani kumuombea mkwewe kura! Pesa alizotumia kushinikiza na kununua ushindi, HAKIKA IMEDHIHIRISHA PESA SI KILA KITU.....