Hata akigombea Ubunge huko Monduli hapati tena sembuse Urais
Ubunge tu,, huo kwao ataupata maana nasikia monduli huwaambii kitu kuhusu huyu mwanasiasa aliyefulia
Hata akigombea Ubunge huko Monduli hapati tena sembuse Urais
Hili la Arumeru lime conclude kwamba huyu Bwana pamoja na tambo na mbwembwe zote hana mvuto kiasi hicho tunachotaka kuaminishwa. Hata Urais anaotaka kugombea ataangukia pua,, hili ndilo litakuwa pigo lake la mwisho na pengine litamuathiri kabisa kiafya. Wako wanasiasa wengine wenye umri mzuri tu wa kugombea urais,, ila si huyu tia maji tia maji
Pana kila sababu ya kuunganisha huu ukanda ili sasa tusonge kuelekea kusini mwa nchi!CDM kumbekeni kamba imekatikia Monduli, mkivuta mtaangukia upande mmoja
Moshi mjini (CDM, Jimbo la Hai (CDM), Jimbo la Arumeru Mashari (CDM) Jimbo la Arusha mjini (CDM), Jimbo la Monduli (CCM), Jimbo la Karatu (CDM, Jimbo la Mbulu (CDM). Bila kuunga kipande kilichokatika itakuwa vigumu kushambulia kwa pamoja kuendelea Bara...Kiteto, Babati, Hanangi na kuendelea.
cdm kumbekeni kamba imekatikia monduli, mkivuta mtaangukia upande mmoja
moshi mjini (cdm, jimbo la hai (cdm), jimbo la arumeru mashari (cdm) jimbo la arusha mjini (cdm), jimbo la monduli (ccm), jimbo la karatu (cdm, jimbo la mbulu (cdm). Bila kuunga kipande kilichokatika itakuwa vigumu kushambulia kwa pamoja kuendelea bara...kiteto, babati, hanangi na kuendelea.
Tupatie source
Wanajamvi, poleni na majukum na hongereni kwa kuendelea kufungua milango ya mabadiliko ndani ya nchi yetu tukufu iliyopoteza uelekeo kwa upofu, ubinafsi na hira za wanyonyaji wazawa walaghai na wanyonyaji wa kigeni.
Tudadisi kidogo juu ya ushindi wa kijana Nasari, ushindi wa chadema, ushindi wa wanaarumeru, ushindi wa wanaccm wanopenda mabadiliko na ushindi wa watanzania wote waliochoshwa na mwenendo wa kusuasua kimandeleo katika kutekeleza ilani ya ccm isiyotekelezeka kwa vitendo bali kwa maneno,
Nakumbuka wakati wa kampeni huko arumeru wapo watu kadha wa kadha walijitoa kifadha, kimawazo na mda kumpigia chapuo kijana Sioi Sumari, Kijana aliyekimbilia madaraka kabla baba yake hajamaliza siku 40 ardhini, namkumbuka mzee Mkapa, msema ovyo mwigulu nchemba nadhani huyu kuzaliwa alitanguliza miguu kwani mdomo wake unaonekana kuwa na ugonjwa wa vistula, pili tulimuona mzee wetu, mpenda madaraka na mkwilima bwana Edward lowassa aliyedriki kupanda jukwaani kumpigia kampeni mkwe wake lakini mwisho wa siku kaangukia pua.
Maana yake nini?
Tukumbuke zogo lililoshika kasi mda mfupi baada ya sioi kutangazwa, Zengwe liliibuka huku walio wekisema Salakikya kashinda huku wengine wakisema hapana, wengine wakisema hakufikisha asilimia fulani ya wapiga kura, hizo zote lilikuwa zengwe kwani kama walimtangaza mwanzo je hicho kifungu hawakukijua?lakini kimsingi mapambano hayo lisimamiwa vema na Nape Nnawiye, mzee 6, NA CHILIGATI sterling akiwa JK pale magogoni kashikiria remote mambo yote yakijipa, pesa iliyokatwa ni nyngi kwani pamoja na kurudia kupiga kura ya kumpata mgombea wa ccm bado kijana Nasari alishinda, futina ziliendelea ndani ya chama huku wakisema bora tukose kuliko Sioi kupata na mbinu chafu zilikemewa na kuruhusu uchaguzi wa haki bila kuchakachua kama ilivyozoeleka na mwisho CDM wakashinda, HII inaashiria siasa za mnyukano kuanza kasi upya ndani ya ccm! tutegemee makubwa sana na lazima itakuwa hivyo, nyerere alishayaona.
Tafsiri yake ni ipi?
Tafsiri yake ni kwamba, lengo kuu limetimia la kumpata mbunge, lakini kupanda kwa el kupanda kwenye jukwaa na kama Mkwe wake angeshinda kwanza cdm ingekuwa pigo sana kwani arusha ndo ngome ya chama pili Bwana mamvi anga gain momentum kubwa sna na umaarufu wake ungeongezeka sana ila mwisho wake wa kuangukia pua ni dalili mbaya sana kwani duru za kisiasa zinasema jamaa mbinu zake hazina mashiko yoyote pamoja na jeuri ya pesa yake, iwapo haelewani na malendari ndani ya chama, je atawezaje kukamilisha ndoto zake?mungu ni mwema sana na hana kinyongo na mtu, hutoa kwa mtu anachostahili kupata, waliosubortage hii nchi watalipwa taratibu na dunia nzima itashuhudia. asante Mbowe, Dr slaa na makamanda wa chadema chini ya kampeni Manager Vicent Nyerere!
CDM-winner
CCM looser!
GET WELL SOON MACHEMLI-NANSIO MP
KIWIA HIGHNESS-ILEMELA MP
FITINA ZAO ZINA MWISHO!