epigenetics
JF-Expert Member
- May 25, 2008
- 269
- 80
http://www.necta.go.tz/acsee2009/acsee2009.html
Kibaha, Mzumbe, Ilboru, Marian zaongoza kama kawaida.....
Kibaha, Mzumbe, Ilboru, Marian zaongoza kama kawaida.....
Mbona siyaoni
What is the secret behind PCM. Ten best students wote ni kutoka PCM. Congratulations vijana... Twende tuimarishe sayansi
What is the secret behind PCM. Ten best students wote ni kutoka PCM. Congratulations vijana... Twende tuimarishe sayansi
PCM
P=M literally speaking
....and Math is easy
Mtwangie Geography hapo uone (PGM)
Hawa wamefanya form VI, tuombe Mungu waende kusoma Sayansi Chuo kikuu...wasiwasi wangu asilimia kubwa ya hawa wataishia kwenye masomo ya biashara kwa kuyaona marahisi na pia tamaa ya kupata kazi kwenye mabenki na tra..!!!
Mkuu wape Credit vijana, wamefanya vizuri. Kusema Math ni Easy wakati vijana wamekesha wakisoma kwa bidii ni kuwaonea.
Somo gumu kwako ni jepesi kwa mwingine....
Mkuu, I support your observation.
Tatizo siku hizi nchi yetu imeshakuwa ya ujanja ujanja..kila mtu anataka maisha ya mkato. NANI aende FoE kuvaa overoli..wakati anajua akila Bcom...anaingia CRDB au NMB chapchap? I can assure you, at least from experience..asilimia kubwa ya hawa vijana wataishia Biashara na Law....au Computer Science...Vijana wanajitahidi..swala ni serikali kurudisha heshima ya elimu kwa ujumla. Unapomuona Professor wa Physics na Chemistry akiwa frustrated kwa mshahara mdogo..wakati akina Chitalilo darasa la saba wakiwa wanapeta..you wonder what is wrong with a young man going to specialize in Bs Physics au Chemistry...Ukweli siku hizi ni vigumu sana kwa Tanzania yetu kuukimbia umasikini kupitia taaluma ya sayansi. Inwezekana lakini ni ngumu mno. Zamani mtu alikuwa akipata A ya kemia au hisabati..anaonekana kipanga..lakini siku hizi....hali imebadilika sana. Utakuta "ngwini" waliokuwa wanachekwa..ndo wameshikilia mpini...Sayansi unasoma...na GPA yako nzuri....inabidi ukapange foleni Vodacom au Zain..kupanda minara.....We really need to put science in its rightful place. For now..we are on a wrong course.