Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,882
- 10,193
Nakumbuka wakati namaliza A-level darasani letu karibu watu 12 walipata division one PCM but wote walienda kusoma BCom Udsm .Darasani tulikuwa 60 na karibia wote tulienda vyuoni lakini walioenda kusoma Science hata 10 hawafiki
Serikali inatakiwa kuliangalia hili suala bila hivyo wanafunzi wengi watasoma Science wakifika vyuoni wanakimbilia Uhasibu na Biashara
Serikali inatakiwa kuliangalia hili suala bila hivyo wanafunzi wengi watasoma Science wakifika vyuoni wanakimbilia Uhasibu na Biashara
Last edited: