Matokeo Kidato cha Nne 2014 yametoka: Sekondari ya Kaizirege yaongoza

Shule bora 10, na shule 'bomu' 10 Form 4 yaliyotoka leo hii.

Shule 10 bora Kitaifa:

1. Kaizirege - Kagera
2. Mwanza Alliance - Mwanza
3. Marian boys - Pwani
4. St. Francis - Mbeya
5. Abbel - Mtwara
6. Feza Girls
7. Canossa - Dar es salaam
8. Bethel Sabs Girls - Iringa
9. Marian Girls - Pwani
10. Fedha Boys

Shule 10 za Mwisho:

1. Manolo - Tanga
2. Chokocho - Pemba
3. Kwaluguru - Tanga
4. Relini - Tanga
5. Mashindei - Dar es Salaam
6. Njelekela Islamic Seminary - Kigoma
7. Vudee - Kilimanjaro
8. Mnazi - Tanga
9. Ruhembe - Morogoro
10. Magoma - Tanga

NB: Naomba tuangalie jinsi za kuzikwamua hizi za mwisho.

Shule za Kanisa Katoliki zinazidi kukimbiza....Hongera shule za Kanisa
 
s0247/0058
f
4.0
distinction
civ - 'b' hist - 'b' geo - 'b+' b/knowl - 'b+' kisw - 'b+' engl - 'a' phy - 'b' chem - 'b+' bio - 'b+' b/math - 'b'

s4818/0060
f
2.7
merit
civ - 'c' hist - 'b' geo - 'c' kisw - 'c' engl - 'b+' phy - 'b' chem - 'c' bio - 'b' b/math - 'c'

Subir advance
 
Mchome ndiyo anazingua, mara aje na "E" mara "+" mara GPA sasa what i wonder hayo manjonjo yote ya nini? kubadilisha mfumo uliokuwepo wa division na kuja na huu wa GPA ndiyo unainua elimu????
 

Kweli huu mwaka wa MCHARO aisee yaani ANGEL L MCHARO na JENIFA L MCHARO mmethibitisha hilo.

Mcharo kweli mtamu...

Tanga wao mapenzi ndo yanawaangusha bado mwamuko wa kitabu kwa wazazi uko chini sana.
 
Mkubwa KINACHOENDELEA KIKO WAZI KABISA.

CCM HAIKUWA TAYARI KUENDELEA NA MFUMO UNAOELEWEKA NA WATANZANIA WENGI.

HIVYO WAMEKUJA NA HZI COSMETICS AMBAZO HAZIELEWEK.

SHULE ZA KATA ZINAZALISHA WATOTO WASIOJIWEZA, HVYO NI BORA KUMPA MTU PASS KULIKO DIV. FOUR..

NI UJINGA MTUPU.

Hakika hoja iliyotumika ni DHAIFU sana eti kuoanisha na mfumo wa TCU ili iwe rahisi kudahili, hivi miaka yote kumbe ilikuwa shida kudahili?

Kama lengo ni kuoanisha kwa nini hawajatumia First Class,Upper Second n.k?

Kwa nini kama lengo ni kuoanisha Distinction isianzie 4,4 kama ilivyo vyuo vikuu?

Hakiki hoja ya kuoanisha ni DHAIFU SANA
 
Mchome ndiyo anazingua, mara aje na "E" mara "+" mara GPA sasa what i wonder hayo manjonjo yote ya nini? kubadilisha mfumo uliokuwepo wa division na kuja na huu wa GPA ndiyo unainua elimu????

NECTA ndiyo wamebadisha mfumo siyo Mchome
 
Back
Top Bottom