Matokeo kidato cha nne 2009

duh,sidhani kama hela yote inachukuliwa na jmaa!makapuni ya simu yanahitaji dau kubwa sana kwenye ishu kama hizi,more than 50%, bado kuna software za kununua,configutations ect.na ni njia tu ya kumwezesha mtu kupata matokeo kwa urahisi zaidi na haraka,mbona mtu anaenda kwenye net anatoa 1000 kwa ajili ya hayo matokeo?nakumbuka zamani wakati mtandao haujaenea watu tulikuwa tunagombania magazeti kama njugu,yaani mtu unakaa hata week mbili hujapata matokeo yako.kuna vyanzo vingi vya kupata matokeo,si lazima kutuma sms........

Hivi hata kama kampuni za simu zitachukua 50% lakini bado ni maumivu kwa mtu wa kawaida, wewe unaweza kuona sio ishu, ila kuna jamaa wanakula 200 familia ya watu 4 kwa siku!

Hapo ndipo tunapoendelea kutiana umaskini mchana kweupeee!
 
Enz ze2 matokeo had yapelekwe mashulen 2liposemea ndo 2kayaone au 2kaulize kwa afisa elimu wa mkoa yan acha m2 2likuwa 2naish na pesha hata mwez mzma hujui matokeo na yametangazwa tayar
 
hivi ww uliye post mzima kweliii hayA NDO MATOKEO YA FORM 4 2009.......HEBU CLICK MWENYEWE UONE KAMA 2009
 
Back
Top Bottom