Alwayz on top
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 706
- 264
pole sn kwa masaibu yaliyokukuta lkn umezidi UFATAKI bora wangekubaka ukome...nyooooooo
Mods wakiiweka hii topic kama sticky inaweza saidia pia.. kama vile nakuona ulivochomoka na Rav2 yako! :lol:
wandugu!
Tafadhali chukueni tahadhari na watu (wanawake kwa wanaume) wanaotangaza kuwa eti wanataka wake au waume huku jamiiforums kumbe wana agenda ya siri nasema haya kwa sababu yamenikuta jana nilimpata mdada humu humu jamiiforums tukawa tunawasiliana na jana mwanzoni tulikubaliana tukutane mlimani city baadae akabadilisha akasema tukutane pale mwenge (maryland bar) mi nikakubali akaja kweli muda tuliokubaliana saa 10:30 jioni (maryland bar mwenge ghafla nikavamiwa na group la vijana wapatao wa 4 wanadai ati kwa nini namsumbua kwa kumtongoza kila siku mke wake duuh! Kilichonisaidia ni mbio zangu maana jamaa walishuhudia vumbi tu! Labda walichofaidi ni bia niliyokuwa nimebakisha hapo mezani lakini kama ndo mpango wao wanipore wamenoa!! Kwa hiyo tafadhalini kuweni makini,vinginevyo mtalia siku moja