Wandugu!
Tafadhali Chukueni tahadhari na watu (wanawake kwa Wanaume) wanaotangaza kuwa eti wanataka wake au waume huku jamiiforums kumbe wana agenda ya siri nasema haya kwa sababu yamenikuta jana nilimpata mdada humu humu Jamiiforums tukawa tunawasiliana na jana mwanzoni tulikubaliana tukutane MLIMANI CITY baadae akabadilisha akasema tukutane pale MWENGE (Maryland Bar) mi nikakubali akaja kweli muda tuliokubaliana saa 10:30 jioni (Maryland Bar Mwenge ghafla nikavamiwa na group la vijana wapatao wa 4 wanadai ati kwa nini namsumbua kwa kumtongoza kila siku mke wake duuh! kilichonisaidia ni mbio zangu maana jamaa walishuhudia vumbi tu! labda walichofaidi ni bia niliyokuwa nimebakisha hapo mezani lakini kama ndo mpango wao wanipore wamenoa!! KWA HIYO TAFADHALINI kuweni makini,vinginevyo MTALIA SIKU MOJA
Hahaha! The imaginations itself is killing me! Dah... JF is never boring... Poleee...
mhh! Huyo sister ako naye zimo kwel? Sasa tume ya mipango na viwanja wapi na wapi? Kama ki2 hufaham muwe mnauliza cyo kwenda kichwakichwa
kinachonifurahisha kuhusu MMU watu wanajadili story za kutunga .. na wanakuwa busy kweli :lol:
ki ukweli kuna mtu humu alinisaidia sana simjui hanijui.ila simtoi shukurani.kwa hiyo watu wema wapo
Mkuuu funguka bwana, ulichat na ID gani humu JF, hio KUSEMA BILA KUMLIPUA MUHUSIKA SI DAWA! Ukute big name!!!! LOL! Sipati picha ukaona umejipatia BONG YA SHORIIIII!BURE BURE! USHAJIPANGA KUMUONJAAA!!!!LOL! Ndo dawa yenu waonjaji!!!!! Pale Maryland kuna guest kibao karibu ikiwamo Raibow Hotel Na Kebbys Hotel! Sijui ulilipia chumba ipi? LOL! Anyway siku zote BLIND DATES ni mbaya unaweza chat na mtu kumbe Mama/Dada yako, bora wewe mke wa mtu!! LOL!
gesti za mjii huu zote wazijua? lol
Sasa ule mpango wangu wa kutafuta mpenzi humu itabidi niusitishe kwanza... Kumbe yanaweza nikuta makubwaaa..!
Jamni alichoandika huyu jamaa ni cha kweli mwaka janaa mwezi wa sita dada yangu alitapeliwa na kijana aliyemkuta humu sh milioni mbili bahati nzuri to cut it short jamaa alijitia nafanya kazi tume ya mipango viwanja vinatolewa sister ampe pesa akampa 2m mnajua tena watoto wa kike sasa sisiter kamkamata yule jamaana full contact anazo nshamwabia mara kibao tumtamngaze humu anasema tuvute muda kwanza kozi mambo yapo police nawaambieni kuweni makini humu hasa kina dada
Kosa ni la dada yako, wewe utampaje mtu hela usiyemfahamu? Ukitumia mitandao ujue pro & cons zake. kwa jinsi hiyo dada yako anaweza kutapeliwa hata na mpita njia, hivyo don't blame JF bali uzembe wa dada yako.
subiri na we huyo alikuvisha pete akuache ndo utajua kosa la nani
Kosa ni la dada yako, wewe utampaje mtu hela usiyemfahamu? Ukitumia mitandao ujue pro & cons zake. kwa jinsi hiyo dada yako anaweza kutapeliwa hata na mpita njia, hivyo don't blame JF bali uzembe wa dada yako.
ID itasaidia nini na wakati mtu anaweza kubadilisha na kuja na ID mpya pengine hata yumo humu na kuchangia hoja anachangia
Halafu soma elewa ndo uandike nani kalamu jf/nitahadharisha watu we unaongea kulaumu?kumbe aliyekuvisha pete umemtoa humu?bora huyo dadangu aliyetapeliwa pesa si inatafutwa tu?utakachotapeliwa wewe ndo utajua kutapeliwa hakuna mwenyewe
hahahahaaa, unajua nilipokuwa nasoma huu uzi,nlikuwa namhurumia kweli ila hapo mwisho pakanivunja mbavu....
hilo ni fundisho bwana ukitaka kudate humu hakikisha una mbio za kutosha.....
chezeya JF alaaaa...............