kumbe bado watafuta?
he nilifikiri ......
Wachaaaaaa! Wewe Huyo Paxxxxx! Ila ulionja kwanza!!! LOL! Weee Mbayaaaaaaaaaaaaaaaaa! (in Joti's voice) Kwa hiyo saa hivi tambarareeee! LOL! Nisamehee kwa upekupeku ila naomba kuuliza ULIVUTIWA NA NINI KWAKE? Au Comments? LOL! Ngoja nianze kucomment KICHURCH CHURCH, naweza bahatika MBUZI ALIENONA KWENYE GUNIA!!! LOL!
kwa ufupi inatakiwa kuwa makini na wapenzi wa kwenye mitandao.....
pale mbona vatican tu mtu wangu!!??. mianaona umekasirika mkuu....jamaa kakipakazia kijiwe chako eh....!
Mwambie bana tena leo nitakuwa hapo mida ya saa kumi jioni, nina miadi, kama kikinuka nitaku PM tukisanue wote, si una namba ya IGP Mwema... Mwambie aweke Defender stand by pale maeneo ya njia panda ya ITV
Katika maisha yote yanawezekana kabisa, hili lililokutokea lisiichafue JF natetea kwa sababu kuna watu wamepatana JF na mpaka sasa wanaishi kwa amani. Mimi mwenyewe ni mfano wa watu waliopata mchumba JF..
Ni vizuri ukimtaja huyo muhusika hapa.
umakini hata na wapenzi wa duniani maana ndio hao hao waliopo kwenye mitandao.
hongera bana, mbio zako zimekuokoa ......lol
teh teh, hii nayo kali....ila ina maana kubwa kwa wahusika lol....Saivi mtu mkishapeana appointment unaenda na bodaboda tena ikiwa silence, kikinuka tu.. Vumbii..
Asante BAK kwa kweli mtoa maada alitakiwa aweke wazi hata kama muhusika ana akaunti nyingi basi itakayotajwa ishughulikiwe! anyway JF itazidi ku bring the most I hope!Hongera zako nyingi... Naunga mkono hoja yako ya muanzisha thread amtaje huyo tapeli ili apewe kibano cha maisha maana watu wenye tabia kama hizi wakiachiwa kushamiri wataichafua JF na hivyo kuishushia hadhi yake.