hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,829
Na wewe HC dada wako ni mbaya mpaka hahitaji mask wakati wa Halloween.
Castomoshi- kwenu ni masikini, wanene na hamna akili mpaka herufi pekee mnazozijua ni K.F.C
Swahilian- Wewe ni mnene mpaka ukienda kupima ktk scale inakuambia hapana mmoja mmoja tafadhali!:whoo:
Na wewe Lizzy dawa yako ipo jikoni!:gossip:
yaani we ni mjinga siku uliyoenda airport uli book ndege ya pick up body