Matajiri wa Kiislamu Jengeni Vyuo Vikuu

Status
Not open for further replies.
Mkuu asante kwa kutuelewesha. Mfano hilo jina la Augustino Ramadhani alikuwa mkristo.
sio alikuwa, ni mkristo na nimpiga kinanda pale kanisani la St Alban Upanga (posta mpya ) alikuwa Jaji mkuu sasa amestaafu na yuko hai.
 
Mkuu usidhani kila anaeitwa Abdalah au Hamisi ukadhani ni muislamu! hawa wana dini zao tembelea mitaa ya kisutu ndio utajuwa Wahindi ni dini gani.
wewe inaonekana hata yule aliekuwa makamu wa Rais wa Saddam Hussein anaitwa Tareq Azizi utasema ni muislamu kumbe hujui hayo ndio majina ya watu wa maeneo ya Uarabuni. Hakuna majina ya kiislamu dunia hii. hili nina uhakika haulijui. na hata Augustino Ramadhani ni mkristo muanglican.

Nakubaliana na wewe 100 kwa 100 kuwa majina hayamaanishi fulani ni dini fulani, hali kadhalika kuna kina John na Joseph wengi ambao si wakristo.

Kumbuka waislaam tunajua fika kuwa hukuti hata mmoja asie Muislaam akaitwa Muhammad au Mustafa, kama unabisha niwekee umjuae.

Mfano, hawa wote ni waislaam lakini tazama majina yao:


Source: http://en.wikipedia.org/wiki/List_of_converts_to_Islam
 
Kazi yao kula tende na kahawa tu shule haina maana kwao.

Kweli kabisa wala hujakosea, lakini tumeona hivi karibuni Kikwete akifumua ule mfumo wa kuchaguana sekondari kwa kuanzisha Sekondari kila kata, matokeo yatakuja baada ya muda si mrefu, just another 5 Years.
 
sio alikuwa, ni mkristo na nimpiga kinanda pale kanisani la St Alban Upanga (posta mpya ) alikuwa Jaji mkuu sasa amestaafu na yuko hai.

Lugha kidogo inanipiga chenga. Thanks :"NI MKRISTO":
 
Mkuu asante kwa kutuelewesha. Mfano hilo jina la Augustino Ramadhani alikuwa mkristo.

Kweli kabisa, Augustino la Kikristo, Ramadhani la kiislaam, kuna uwezekano mkubwa kuwa huyu baba'ke alikuwa Muislaam.
 
Kweli kabisa, Augustino la Kikristo, Ramadhani la kiislaam, kuna uwezekano mkubwa kuwa huyu baba'ke alikuwa Muislaam.

You might be very correct. Kumbuka wakati ule, watu walikuwa lazima wabadilishe majina yao ili waende shule za misheni, Hii inaweza kuwa ni sababu moja ya yeye kuwa na majina mawili yenye asili tofauti.
 
You might be very correct. Kumbuka wakati ule, watu walikuwa lazima wabadilishe majina yao ili waende shule za misheni, Hii inaweza kuwa ni sababu moja ya yeye kuwa na majina mawili yenye asili tofauti.

Exactly na hiyo ndio moja ya sababu za wazee wa Kiislaam kuwa mstari wa mbele kuanzisha vyama vya kupigania Uhuru ili watoto wa Kiislaam nao waweze kusoma wakiwa huru bila ya kwenda mission schools kubatizwa wakitaka wasitake.
 
Exactly na hiyo ndio moja ya sababu za wazee wa Kiislaam kuwa mstari wa mbele kuanzisha vyama vya kupigania Uhuru ili watoto wa Kiislaam nao waweze kusoma wakiwa huru bila ya kwenda mission schools kubatizwa wakitaka wasitake.

Mkuu nimeiona hiyo.
 
Kweli kabisa, Augustino la Kikristo, Ramadhani la kiislaam, kuna uwezekano mkubwa kuwa huyu baba'ke alikuwa Muislaam.
Wewe ni mjinga wa mwisho, hakuna majina ya Kiislamu, nenda Musoma uone kina Abdalah walivyo wengi na sio waislamu nawengine hawana hata dini. kwahiyo Tareg Azizi baba yake alikuwa muislamu? hivi ujinga huu utakuisha lini?
 
Tutajieni hivyo vyuo walivyojenga matajiri wa kikristu bongo!!!!!!!!! Acheni porojo!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
st. Mary's universty, eckenford university, Ben wil Mkapa(muslim university), st Jones, kisanji university, sebastian kolowa university, na orodha inaendelea
 
Wewe ni mjinga wa mwisho, hakuna majina ya Kiislamu, nenda Musoma uone kina Abdalah walivyo wengi na sio waislamu nawengine hawana hata dini. kwahiyo Tareg Azizi baba yake alikuwa muislamu? hivi ujinga huu utakuisha lini?
Kijana una juhudi ya kuchangia kwa jazba hata kwenye kitu ambacho hukijui! Na ni wewe umeipotosha hii thread kwa makusudi au kwa ujinga.
Unaposema hakuna majina ya kiislamu unamaanisha nini? Unatoa mfano wa Abdallah.. unajua maana yake? Abdallah = Abd-Allah kwa Kiswahili ni Mja (mtumishi) wa Allah! Sidhani kama kuna mkristo anayemuabudu Allah..

Pia narudia tena, hii thread ilikuwa hailinganishi waislamu na wakristio juu ya kuwa na vyuo vikuu..Hilo halina ubishi TZ kuna vyuo vikuu vingi vinavyomilikiwa na taasisi za kikristo. Mada ilikuwa MATAJIRI wa kiislamu (wale wanaofadhili sana kwenye simba na yanga) Kwa nini hawajengi VYUO VIKUU? Wakati hili nalo halina ubishi, tulitoa challenge hapa kuwa sio matajri wa kislamu tu, hata wa kikristo TANZANIA hawafanyi hivyo..tutajie tajiri/matajiri wa kikristo WANAOMILIKI VYUO VIKUU TZ...........

Msilete ubishi wenu wa kiharakati hapa!
 
St. Mary's univerisy, eckenford university, jordan university collage( kipo morogoro)..........................................<br />
Kijana una juhudi ya kuchangia kwa jazba hata kwenye kitu ambacho hukijui! Na ni wewe umeipotosha hii thread kwa makusudi au kwa ujinga.&lt;br /&gt;<br />
Unaposema hakuna majina ya kiislamu unamaanisha nini? Unatoa mfano wa Abdallah.. unajua maana yake? Abdallah = Abd-Allah kwa Kiswahili ni Mja (mtumishi) wa Allah! Sidhani kama kuna mkristo anayemuabudu Allah..&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Pia narudia tena, hii thread ilikuwa hailinganishi waislamu na wakristio juu ya kuwa na vyuo vikuu..Hilo halina ubishi TZ kuna vyuo vikuu vingi vinavyomilikiwa na taasisi za kikristo. Mada ilikuwa MATAJIRI wa kiislamu (wale wanaofadhili sana kwenye simba na yanga) Kwa nini hawajengi VYUO VIKUU? Wakati hili nalo halina ubishi, tulitoa challenge hapa &lt;font size=&quot;4&quot;&gt;&lt;b&gt;kuwa sio matajri wa kislamu tu, hata wa kikristo TANZANIA hawafanyi hivyo..tutajie tajiri/matajiri wa kikristo WANAOMILIKI VYUO VIKUU TZ...........&lt;br /&gt;<br />
&lt;/b&gt;&lt;/font&gt;&lt;br /&gt;<br />
Msilete ubishi wenu wa kiharakati hapa!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
 
Tutajie chuo kikiuu hata kimoja kilichojengwa na matajiri wa kikristo wazalendo wa Tanzania. Tuanzie hapo kwanza kabla hujatoa shutuma kwa wengine!
Harambee zinafanywa kanisani, Kichwa "mchango wa ujenzi chuo kikuu X" au "Mchango wa ufunguzi wa tawi la chuo kikuu X". Sisi Walutheri wa Kilimanjaro, Mbeya, Dar huwa hatuchungulii pesa tukisikia vitu vya maendeleo kama hivyo (Wenzetu wakatoliki walikuwa 'wanachunguliaga' sana pesa enzi kabla wajomba 'hawajasepa'), maana tunajua vitaleta maisha bora kwa wanetu. Tajiri anatoa milioni kumi na kapuku kama mimi anachangia elfu 10. Mara chache sana unapata wafadhili toka ng'ambo kuja kufanya 'finishing'. Hatutaki wafadhili waje watujengee makanisa, maana tuna nguvu za kujenga kwa mikono yetu. Wala hatutaki watuletee tende, kwani hatushindi kucheza bao, ndio maana tuna mahindi na mpunga wa kutosha kujilisha. Basi mchezo unaendelea kwa Wakatoliki, wa anglikana, Wamoravian, Wasabato, wa AICC, na wale wenzetu wadogo wadogo waliojaa sana mikoa kama ya Mbeya kama vile kanisa la Ngemela/Last church, Mitume, Walokole wote n.k. Mwisho wapata Tumaini University ndani kukiwemo KCM University, Utapata Akina SAUT ndani yake kukiwa na BUCHS, Utapata Teofilo Kisanji, Sebastian Kolowa, St. Joseph, St. John, St. X n.k. Ila zuri kwetu hatuangalii jina lako kama ni Maji ya jumvi, Mhogo mchungu, au Juma wote twawapa nafasi za kufundisha na kusoma bila kujali kama ulikuwepo kanisani kuchangia au la. Na masomo yetu yanazingatia vile vitakiwavyo kwenye soko la ajira.
 
Kweli kabisa, Augustino la Kikristo, Ramadhani la kiislaam, kuna uwezekano mkubwa kuwa huyu baba'ke alikuwa Muislaam.

............. alibadili ili asome shule ya mission !! wengi wa watu wa pwani waliukwepa huu mtego ! Wabondei wengi wana style ya haya majina.
 
Exactly na hiyo ndio moja ya sababu za wazee wa Kiislaam kuwa mstari wa mbele kuanzisha vyama vya kupigania Uhuru ili watoto wa Kiislaam nao waweze kusoma wakiwa huru bila ya kwenda mission schools kubatizwa wakitaka wasitake.
........... tatizo wengi wao humu hawalijui hilo, watizame picha za Mwalim enzi yuko PUGU waliokuwa wanamsaidia ni kina nani ?!
 
Kweli kabisa, Augustino la Kikristo, Ramadhani la kiislaam, kuna uwezekano mkubwa kuwa huyu baba'ke alikuwa Muislaam.

............. kwa "WADIGO" ni ukoo mmoja tu, ulikubali kubadilisha DINI ili wasome ! (akina William Boko, Mwenyekiti wa Yanga na nduguye Prof. Jengo) ili waonekane bado Wadigo, jamaa watoto wao wote hupenda kuwapa majina ya Kidigo na si ya ubatizo.
 
............. kwa "WADIGO" ni ukoo mmoja tu, ulikubali kubadilisha DINI ili wasome ! (akina William Boko, Mwenyekiti wa Yanga na nduguye Prof. Jengo) ili waonekane bado Wadigo, jamaa watoto wao wote hupenda kuwapa majina ya Kidigo na si ya ubatizo.
Kwahiyo hapa kwa mujibu wako ni kwamba waislamu wengi hawajasoma, au sijakuelewa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom