Matajiri wa Kiislamu Jengeni Vyuo Vikuu

Status
Not open for further replies.
Tanzania inamatajiri wengi sana wa Kiislamu ambao ni mashabiki wa vilabu vikubwa vya Simba na Yanga.

Matajiri hawa wa Kiislam wanauwezo wa kutoa dolari laki moja, mbili na zaidi ili watu waingie kwenye mtanange viwanjani .

Cha ajabu, mimi sijasikia hata mara moja Matajiri hawa wa Kiislam wakitoa dolari kujenga vyuo vikuu na au maospitali nk.

Hivi tatizo lipo wapi kwa matajiri wa Kiislam katika kuendeleza ummah? Mbona Matajiri wa Kikristo wapo mstari wa mbele kujenga vyuo na mahospitali.

Wanajamii tatizo ni nini kwa matajiri wa kiislam?

waislam wamezibwa juu na chini. wakiristo wanapata misaada kutoka vatican,
 
daah huu uzi umekaa kidini zaidi..lakini kama mtu anaplan nzuri tunaweza kuwashauri hawa wenzetu matajiri sio wa kislam pekee bali hata wale ambao hawana dini yeyote wawekeze zaidi kwenye miradi muhim inayogusa maisha ya wananchi kama shule,maji, hospitali na nyumba bora ili watupungizie japo kwa uchache haya matatizo yahusuyo hizi sekta kwa ujumla..
 
Tatizo liko kwa matajiri wote wa TZ, sio waislamu wala wakristu. Hawako tayari kuinvest vya kutosha kwenye mambo makubwa ya kuiinua jamii kama university, mahospitali makubwa nk.
 
  1. St Augustine
  2. Bishop Theophile Kisanji
  3. Makumira
  4. Tumaini
  5. Nk

Thread ilikuwa inazungumzia matajiri wa kiislamu bongo, na challenge ikawa mbona hakuna matajri wa kikristo waliojenga vyuo vikuu? Wewe unatutajia vyuo vinavyomilikiwa na kanisa! Hivyo tunavijua..hakuna asiyejua kuwa vimejengwa kwa msaada wa taasisi za magharibi! Hizo hatuna hoja nazo..Tutajie vyuo vilivyojengwa na matajiri wa kikristo wazalendo.. Kama wakina Mengi, wale wanaomiliki mabasi ya Dar expres etc..
 
Thread ilikuwa inazungumzia matajiri wa kiislamu bongo, na challenge ikawa mbona hakuna matajri wa kikristo waliojenga vyuo vikuu? Wewe unatutajia vyuo vinavyomilikiwa na kanisa! Hivyo tunavijua..hakuna asiyejua kuwa vimejengwa kwa msaada wa taasisi za magharibi! Hizo hatuna hoja nazo..Tutajie vyuo vilivyojengwa na matajiri wa kikristo wazalendo.. Kama wakina Mengi, wale wanaomiliki mabasi ya Dar expres etc..

Mkuu unapoteza muda, matajiri wa kibongo wanajenga chupa za bia na uzinzi tu, si wakristo wala waislamu, ndiyo maana hata hawakopesheki kwenye taasisi za kimataifa wanaishia kuiba BOT. Angalau wenzao wa kenya wanawekeza hata kwenye ujenzi wa nyumba (estates).
 
Tanzania inamatajiri wengi sana wa Kiislamu ambao ni mashabiki wa vilabu vikubwa vya Simba na Yanga.

Matajiri hawa wa Kiislam wanauwezo wa kutoa dolari laki moja, mbili na zaidi ili watu waingie kwenye mtanange viwanjani .

Cha ajabu, mimi sijasikia hata mara moja Matajiri hawa wa Kiislam wakitoa dolari kujenga vyuo vikuu na au maospitali nk.

Hivi tatizo lipo wapi kwa matajiri wa Kiislam katika kuendeleza ummah? Mbona Matajiri wa Kikristo wapo mstari wa mbele kujenga vyuo na mahospitali.

Wanajamii tatizo ni nini kwa matajiri wa kiislam?
Mkuu umeongea point nzuri sana.
 
jamani acheni kufikiria kidini dini wakati wote

matajiri wa kiislamu, kikristu na kipagani kazi yao siyo kujenga vyuo au shule. Wakijenga ni mapendo yao, wao wanalipa kodi kwa serikali kama maskini wanavyolipa. Serikali ndio yenye majukumu ya kukujengea wewe chuo.
Ni wakati wa kuungana na hao matajiri kuidai serikali vyuo na sio to work against them
 
jamani acheni kufikiria kidini dini wakati wote

matajiri wa kiislamu, kikristu na kipagani kazi yao siyo kujenga vyuo au shule. Wakijenga ni mapendo yao, wao wanalipa kodi kwa serikali kama maskini wanavyolipa. Serikali ndio yenye majukumu ya kukujengea wewe chuo.
Ni wakati wa kuungana na hao matajiri kuidai serikali vyuo na sio to work against them

Ujamaa ndio huu
 
Thread ilikuwa inazungumzia matajiri wa kiislamu bongo, na challenge ikawa mbona hakuna matajri wa kikristo waliojenga vyuo vikuu? Wewe unatutajia vyuo vinavyomilikiwa na kanisa! Hivyo tunavijua..hakuna asiyejua kuwa vimejengwa kwa msaada wa taasisi za magharibi! Hizo hatuna hoja nazo..Tutajie vyuo vilivyojengwa na matajiri wa kikristo wazalendo.. Kama wakina Mengi, wale wanaomiliki mabasi ya Dar expres etc..

Haya nawe tutajie vinavyomilikiwa na msikiti........hao matajiri wakristo hutoa sadaka kubwa tu zinazochangia kujenga hivyo vyuo
 
Thread ilikuwa inazungumzia matajiri wa kiislamu bongo, na challenge ikawa mbona hakuna matajri wa kikristo waliojenga vyuo vikuu? Wewe unatutajia vyuo vinavyomilikiwa na kanisa! Hivyo tunavijua..hakuna asiyejua kuwa vimejengwa kwa msaada wa taasisi za magharibi! Hizo hatuna hoja nazo..Tutajie vyuo vilivyojengwa na matajiri wa kikristo wazalendo.. Kama wakina Mengi, wale wanaomiliki mabasi ya Dar expres etc..
tutajie vyuo vikuu vinavyomilikiwa an misikiti basi........ kwani tatizo na tofauti iko wapi
 
jamani acheni kufikiria kidini dini wakati wote

matajiri wa kiislamu, kikristu na kipagani kazi yao siyo kujenga vyuo au shule. Wakijenga ni mapendo yao, wao wanalipa kodi kwa serikali kama maskini wanavyolipa. Serikali ndio yenye majukumu ya kukujengea wewe chuo.
Ni wakati wa kuungana na hao matajiri kuidai serikali vyuo na sio to work against them

Mkuu hivi kutegemea Serikali kwa kila kitu si ndio tumefikia hapa. Tunaishi bila umeme kama manyani ya porini? Why do you think it is the work of the Gov kutujengea vyuo?
 
I believe education to muslim is more western to the point of having education is like been a Christian. Maybe the sole education allowed by Allah is the knowledge of Koran! I don't know, just thinking loud. Allah called Kafir as people of the Book. Is there anything to learn from this term "people of the book"?
 
Kujenga chuo mbona mmeenda mbali waambieni waimarishe hata sekondari moja iwe ya mfano ktk taifa!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom