Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,016
- 12,302
Nilikuwa na maswali yangu machache ya msingi kuhusu nchi yangu Tanganyika.
1. Wakati yanafanyika makabidhiano ya uhuru kutoka kwa Muingereza kuja kwetu kwa Watanganyika ni masharti gani Muingereza alitoa kwetu Watanganyika kuhusu uhuru alio tukabidhi December 9, 1961?
2. Mali ngapi bado zipo chini ya Muingereza ( zinamilikiwa na Muingereza moja kwa moja ) hapa Tanganyika licha ya kuwa alitupa uhuru?
3. Ni makubaliano gani waliingia Muingereza na Nyerere kuhusu uhuru wetu?
* Maswali ya nyongeza yatakuwepo tuanze kwanza na hayo matatu ya mwanzo.
N.b
Nipende kusisitiza nahitaji watu smart kujibu maswali haya, sihitaji mizaha isiyo na maana kwenye uzi huu tufahamu hili mapema.
Kama huwezi kujibu kuwa msomaji ili kuepusha shari.
Majibu bora ya haya maswali ni elimu tosha kwetu sote kuhusu nchi yetu.
1. Wakati yanafanyika makabidhiano ya uhuru kutoka kwa Muingereza kuja kwetu kwa Watanganyika ni masharti gani Muingereza alitoa kwetu Watanganyika kuhusu uhuru alio tukabidhi December 9, 1961?
2. Mali ngapi bado zipo chini ya Muingereza ( zinamilikiwa na Muingereza moja kwa moja ) hapa Tanganyika licha ya kuwa alitupa uhuru?
3. Ni makubaliano gani waliingia Muingereza na Nyerere kuhusu uhuru wetu?
* Maswali ya nyongeza yatakuwepo tuanze kwanza na hayo matatu ya mwanzo.
N.b
Nipende kusisitiza nahitaji watu smart kujibu maswali haya, sihitaji mizaha isiyo na maana kwenye uzi huu tufahamu hili mapema.
Kama huwezi kujibu kuwa msomaji ili kuepusha shari.
Majibu bora ya haya maswali ni elimu tosha kwetu sote kuhusu nchi yetu.