Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Sioni cha kuchangia maana sielewi.labda mtoa mada aweke wazi anataka nini.Hapa naona amewaaminisha kuwa kuna ndege mnyama na ndege chombo cha usafiri.
Naomba mwongoza kutoka kwa mtua ambaye hajachangia mada hii kama ndege ni mnyama au kiumbe hai na ndege mwingine ni chombo cha usafiri tu au ni hata silaha etc.
Kama majibu ni sawa na niliyoandika hapo basi WOTE MMEKURUPUKA(mliochangia kwa kuelezea mechanisms) zake.
Naomba mwongoza kutoka kwa mtua ambaye hajachangia mada hii kama ndege ni mnyama au kiumbe hai na ndege mwingine ni chombo cha usafiri tu au ni hata silaha etc.
Kama majibu ni sawa na niliyoandika hapo basi WOTE MMEKURUPUKA(mliochangia kwa kuelezea mechanisms) zake.