Mi nilitaka kumwuliza juu ya majina ya wanaouza unga na alishakiri amepewa majina hayo ameyafanyia nini?
Walishamwandaa, huoni jinsi anavyoinama kusoma data, majibu yaishaandaliwaShalom, jamaa hapo kachemka. Nadhani Tido hakumwandaa juu ya swali hilo!
JK haeleweki, nani anamwelewa anajibu nini? anazunguka tu
ahhahahhah swadata utafikiri upo bongo vilewashikadau redio maria ipo clear kama theluji