siralola
Member
- Apr 24, 2012
- 49
- 7
Siasa ya ndani ya nchi yetu kwa mtu msafi hawezi kuitamani mimi bado sijafahamu kwenye uongozi watu wanagombea kwa nguvu zao zote ni kwanini nchi kama tanzania omba omba wakubwa nawe unataka kujidhairisha baki nyumbani pasi kushabikia siasa tena kwani mungu kakujalia kutoka katika siasa uchwala shukuru mungu waache hao wanao jitia mafusadi moto uwawakie.