Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Dr. Asha-Rose Migiro, former Deputy Secretary General of UN nina maswali machache juu yako. Baada ya kusikia kwenye vyombo vya habari kuwa sasa umerudi nyumbani ukidai ili kulitumikia taifa; makatibu wakuu wengi sijui kuhusu mtangulizi wako wamekuwa international mediators. Swali no. 1: hivi ni kwa nini kwenye UN Assembly 2011 wakati Rais wa Iran Mahmoud Ahmedinejad alipokuwa anaongea ulitoka nje kama walivyofanya mataifa ya Ulaya na Marekani? [angalia video sekunde 0.00 - 0.06 na 09.45] Swali no. 2: je, kama ndio uzoefu huo ulioupata huko ukiwa kama Rais wa Tanzania sio kuwa utaumiza demokrasia kwa kuwa na serikali isiyo onesha tolerance? Swali no. 3: kwa nini umefika tu nchini na kuanza kutaka publicity ya nguvu?
[video=youtube_share;H09nvdPF0KQ]http://youtu.be/H09nvdPF0KQ[/video]
Source: Magazeti ya leo 9/7/2012 (Mwananchi, Nipashe n.k.)
[video=youtube_share;H09nvdPF0KQ]http://youtu.be/H09nvdPF0KQ[/video]
Source: Magazeti ya leo 9/7/2012 (Mwananchi, Nipashe n.k.)