omarilyas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2007
- 2,130
- 145
- Thread starter
- #21
Omar,
RA anafadhiliwa na nani?
Walituzuga kuwa ni WAIRAN lakini kumbe kanchi kamoja kanaitwa BOT/HAZINA....
Naamini inatosha....
By the way nilikuwa mtu wa kwanza KUTHUBUTU kumsema kuwa ROSTAM AZIZ ndiye mwenye unyang'au wa KAGODA katika kipindi cha live JENERALI ON MONDAY.....
Omarilyas