Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Mwanaume wa namna hiyo mimi namwona MPUMBAV tu!...unashndwa kusimamia ukweli kwa sababu ndugu watakutenga?...then ukikutana na uliyemkana akiwa na maisha mazuri roho inakuuma, ulitaka aharibikiwe baada ya wewe kumtosa? Hizi hadithi za shigongo wahusika wote huwa wameishia darasa la nne kama yeye!