Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,162
- Thread starter
- #241
Ilikuwa ngumu sana miaka hiyo. afadhali saa hivi mambo yaanza kubadilika.
kwa kweli kongosho umepatia connection sana. kabila-ukoo kutoruhusu kuoa kabika jingine na miaka 1976. kwa kizazi cha kuanzia kwa mzee Ruksa mpaka JK huwezikukatazwa kuoa/kuolewa sababu ya ukoo au kabila. UTACHEMSHA. komaa na mama wa4 wako