Maskini Sophia wangu... Sasa najutia!

Kongosho kumbe ni mtu mzima kama mimi.

Kwa kukisoma kisa chako na kutazama umri ulioanza kupata watoto, ni dhahiri kabisa kuwa watoto kwa sasa ni watu wazima, nakushauri usichukulie hasira, kaa kimya ukiangalia movie inavyokwenda na huku unatumia mbinu nyepesi na "effective".

Kuna kitu kinaitwa midlife crisis, na mara nyingi huanza kati ya miaka 45 na 55, na hiki ndicho kinachotokea. Ni dhahiri pia kuwa hata mkeo si mdogo tena na ilipaswa ajitulize, si lazima awe na shughuli za ubaba na umama, bali inawezekana kuwa ana-u-miss ubaba na umama na hana majukumu ya kujituliza nyumbani. Ni vyema ukatumia mbinu ya kuwachukuwa wajukuu na kuishi nao, hiyo itampunguzia sana spidi bibie na itamrudisha kwenye malezi ya vijukuu yatakayo mtuliza nyumbani akipenda asipende.

Niamini, nipo kwenye umri wako, naelewa nnachokushauri.

ribosome asikuchanganye na story za long,ni dogo tu huyu wa enzi zile madent wanakalia bansern barner kwenye hiace kwenda tution mapambao, kwa dan mbuzi area na kwa yese na emmy ubungo social.
 
kwani mtoto akioa au kuolewa unaacha kulea?

Una hatari wewe??kama hujui mtoto hakui kwa mzazi.
Na ushauri wa maisha watoto hupata kwa wazazi.

Sasa kama binti yangu ana matatizo kwake inabidi aje kwa baba, sina experience ya kuwa mke, najua kuwa mme ni nini.

@ribosome, angalau unaelewa hilo.
Watoto miaka 30 bado unalea tu?
 
This is sad... Ninacho weza kusema hapa ni kwamba tatizo kubwa ni wewe mwenyewe. So many people have had the same experience but they did not let it affect them the way it affects you. Ukitaka tunaweza kuongea zaidi kwa PM, I am sure I can help kidogo (if you need help, that is)
 
Haya bana.. Hujachanganya na kabila lingine kweli?
Si chotara wewe..? Ila najua kina Ngosha wengi wana damu ya Kitutsi..
Asante..

mimi si chotara ni pure ngosha kutoka Mwanza vijijini... ila nishawahi kusikia kwenye ukoo kuna genes za kikurya pia... usirete utani mura
 
si ni ndio mshindi ni kongosho kwani mpaka sasa bado watu wanakuita shemale, she/he ispokuwa wale ambao akili kumkichwa!

weee upande wa mashtaka umeshinda... ila sijaamua ku publicize matokeo
 
Next time Konnie....

Lete habari yenye picha ya bidada kuwa muathirika,au victim... Si kila mara wanaume wawe starring kwenye picha zako..

Ahsante..
 
Confirm kwanza..

Ututsi unakuhusu SS...

watutsi wengi ni warefu sana, mie urefu wangu ni 165 Cm tu, pua zao zimechongoka, yangu ni ya kibantu, wengi wao ni weusi sana, mie maji ya kunde kiasi, baadhi waliohamia usukumani wako geita na sengerema na huko sio kwetu... proved
 
Nikianza kutunga zangu, ntafanya hivyo.
Lakini nikielezea kitu kilichotokea, ntasema kama kilivyo.

Nimegundua umri wa wachangiaji wengi bado ni vijana sana.
Hawajaona experience ya maisha.


Usiombe kujifunza maisha the hard way!

Next time Konnie....

Lete habari yenye picha ya bidada kuwa muathirika,au victim... Si kila mara wanaume wawe starring kwenye picha zako..

Ahsante..
 
ni kweli tatizo ni kukosa msimamo wa kutetea maamuzi yangu.
Na limenigharimu sana.

This is sad... Ninacho weza kusema hapa ni kwamba tatizo kubwa ni wewe mwenyewe. So many people have had the same experience but they did not let it affect them the way it affects you. Ukitaka tunaweza kuongea zaidi kwa PM, I am sure I can help kidogo (if you need help, that is)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom