Mashtaka kila siku kuhusu wanawake wa humu JF, wanaume mnakera

Hivi huwa mnajue huyu mwanamke na huyi ni mwanaume. Kwenye mitandao kuna midume kibao inajifanya wanawake...na inawapiga mizinga inapotea...halafu unaanza kusingizia wanawake wa JF wako hivi wako vile.

Tulieni acheni kupaparikia wanawake wa kwenye mitandao. Mtaani huko kuna wanawake kibao hamwaoni?
 
Hivi huwa mnajue huyu mwanamke na huyi ni mwanaume. Kwenye mitandao kuna midume kibao inajifanya wanawake...na inawapiga mizinga inapotea...halafu unaanza kusingizia wanawake wa JF wako hivi wako vile.

Tulieni acheni kupaparikia wanawake wa kwenye mitandao. Mtaani huko kuna wanawake kibao hamwaoni?
Sijui hata wapo wengi sana
 

Attachments

  • Screenshot_20240116-195310.png
    Screenshot_20240116-195310.png
    26 KB · Views: 4
Back
Top Bottom