Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,418
- 189,603
Onyesha na huko juu mlikotokeaKung'ang'ania usawa huku mwapiga Mizinga ni jambo lisilokubalika
View attachment 2873784
Onyesha na huko juu mlikotokeaKung'ang'ania usawa huku mwapiga Mizinga ni jambo lisilokubalika
View attachment 2873784
Mapema sana. Sikumchelewesha huyo mjingahapo alitaka ujikaange kwa mafuta yako mwenyewe😃, piga block moja matata sana.
Vizuri sana, aende akipepesukaMapema sana. Sikumchelewesha huyo mjinga
Sawa najua hilo ila hata yeye asitujumlishe wote ajumlishe badhii yao .don't take social media life too seriously, unaweza kuta anayeandika hizo mada ni mwanamke, huwezi jua, ukitilia maanani kila unalosoma kwenye mitandao ya kijamii utapasuka
Sijui hata wapo wengi sanaHivi huwa mnajue huyu mwanamke na huyi ni mwanaume. Kwenye mitandao kuna midume kibao inajifanya wanawake...na inawapiga mizinga inapotea...halafu unaanza kusingizia wanawake wa JF wako hivi wako vile.
Tulieni acheni kupaparikia wanawake wa kwenye mitandao. Mtaani huko kuna wanawake kibao hamwaoni?
Hiyo ndiyo dawa ya kausha damuTupo bega kwa bega mpaka waseme
Wewe ni kahaba fulani tu sikia wanaume mmezidi sana kuwadharau wanawakeUnalalmika wanajumuisha wanawake wote, halafu nawewe badala ya kumsema fulani unajumuisha wanaume wote yani mbwa kala mbwa mbwa tu nyotee
Ujinga uliouanza ushenzi ushenzi tuKuna nini humu ndani?
Tupo bega kwa bega mpaka waseme
Mchunike huko sasa sio siye
Andika watu waliokuchuna wasutwe sasa unajumlisha watu nani atawaelewaSasa mbona ujitete dada kwani pesa hizo pesa mnatuomba zinakuwa zakwenu nyie si ndio mnasemaga haki sawa sasa kwa nini muanze kutufanya kama vile ajira.
We jamaa Mungu anakuona, unataka mwezio afe na njaa😃😃😂😂