Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Mdogomdogo swahiba.... Vuta pumzi.
hahahaha. Sawasawa Kidonge. Halafu hyo ndo inafaa kuwa Avatar yako
Mdogomdogo swahiba.... Vuta pumzi.
kundi A ni Remmy
kundi B ni charminglady
utatolewa na kura sio mie wa kukutoa,acha kelele na fujo piga kura
Ewaaaa...thats my wives. Ushirikiano waumini wa Kakobe.
Hivi ndivyo unavyomjibu mke wangu Yummy?.... Haya kama kawaida yenu cacico, BADILI TABIA na Kongosho, njooni mumsute.
Hahahaha... mangi unaniangusha bana.... Hapo jirani hakuna sehemu wanauza Grants?
Hommie Kaizer unaweza kunipa sababu tatu kuu za msingi kwanini umempigia shem wako Yummy ukamuacha mke mwenzie BADILI TABIA? Imefikia hata wewe unapinga maamuzi yangu ya kuwatoa mashindanoni wake zangu ambao ni wajawazito? Hivi hommie wake zangu yaani hawa ma-Mrs unataka kweli washindanishwe na hivi vibikira?
Umoja na mshikamano kifamilia zaidi.....!Hahahaaaa hii mpya mume wangu!
Usiingilie mambo ya familia yetu.... Endelea na mifugo yako.
Mdogomdogo swahiba.... Vuta pumzi.