King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 871
- 2,334
Hilo la Iran kuwa na nuclear hata mie nafikiri analo maana sio kwa kiburi hicho cha kutishia kufunga straight of Hormuz.Iran now ana kiburi ni sababu ana nuclear tayari ndio maana haogopi tena. nje anasema anaomba aruhusiwe lakini ukweli ni kuwa analo tayari. ndio maana us yuko busy kuhakikisha jambo linaisha kwa amani. sema ndio hvy tena yai lishapasuka. now namuonea huruma zaidi ukraine maana waume zao watahama silaha wapeleke huko kwa Nyau..