Nchi za kiarabu zinashindwaje kuwafikia Israel kiuchumi wakati Israel ni kanchi kadogo na wamezingirwa na maadui?

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,080
Hizi ni Gdp za nchi za ukanda wa kati kwa Usd dollars Billions

Dondoo muhimu:

vipimo hivi vya GDP havihusishi misaada, anyway kiasi ambacho Marekani anaisaidia Israel ni dola bilioni 3 kila mwaka, haifikii hata asilimia 1 ya uchumi wa Israel..

Saudi Arabia ni kubwa kuzidi Israel mara 96, ina watu wengi mara 4 zaidi kuzidi Israel, ina visima vingi vya mafuta ni kuyachota tu




Saudi Arabia $876.150
Israel $520
UAE $501.354
Egypt $438.348
Iran $367
Iraq $250.070
Qatar $236.257
Kuwait $118.271
Oman $110.127
Syria $77.460
Jordan $42.609
Bahrain $41.46
Yemen $28.134
Lebanon $19.008
Palestina 5
 
Hizi ni Gdp za nchi za ukanda wa kati kwa Usd dollars Billions

Kiasi ambacho Marekani anaisaidia Israel hakifikii hata asilimia 1 ya uchumi wake

Saudi Arabia ndio kinara lakini ni linchi likubwa sana karibu mara 100 ya Israel

Saudi Arabia $876.150
Israel $520
UAE $501.354
Egypt $438.348
Iran $367
Iraq $250.070
Qatar $236.257
Kuwait $118.271
Oman $110.127
Syria $77.460
Jordan $42.609
Bahrain $41.46
Yemen $28.134
Lebanon $19.008
Palestina 5
Hapo ushaona Saudi Arabia kampita Israel.
Tukija kwa Iran naweza sema ni taifa lenye nguvu za kiuchumi kuliko taifa lolote hapo middle east kwasababu licha ya vikwazo vya kiuchumi toka 1980 mpaka leo hii ni middle upper income country.
Jiulize kama Iran isingewekewa vikwazo ingekua wapi.
Israel ni nchi inayolelewa na haina uchumi imara kama udaivyo.
Vita ya miezi mitano tu imeiangusha kiuchumi Israel kuliko udhaniavyo.
 
Kiasi ambacho Marekani anaisaidia Israel hakifikii hata asilimia 3 ya uchumi wake

Ni sawa na Japan kuisaidia milioni 200 Tanzania ijenge vyoo
We kweli akili kisoda.
Mabilioni ya dola yanayotolewa Israel kupanga bajeti ya taifa na bajeti ya ulinzi unasemaje kuwa ni ndogo??
Israel inapewa misaada unconditionally,yani kama ile misaada ingegeuka kuwa ni mikopo basi deni lake lisingekua himilivu kitaifa.
 
Hapo ushaona Saudi Arabia kampita Israel.
Tukija kwa Iran naweza sema ni taifa lenye nguvu za kiuchumi kuliko taifa lolote hapo middle east kwasababu licha ya vikwazo vya kiuchumi toka 1980 mpaka leo hii ni middle upper income country.
Jiulize kama Iran isingewekewa vikwazo ingekua wapi.
Israel ni nchi inayolelewa na haina uchumi imara kama udaivyo.
Vita ya miezi mitano tu imeiangusha kiuchumi Israel kuliko udhaniavyo.
Unaongea nini wewe, unadhani nchi kuwa na uchumi mkubwa hadi iwe na mafuta tu ? hakuna kitu chenye thamani hii dunia kama akili.

Israel ndio nchi inayoongozea kwa teknolojia ya kilimo duniani, kampuni inayoongoza kwa hizi ishu ni netvic ya Israel

Israel inaongoza kwa kuwa na start ups nyingi zinazofanikiwa duniani kiasi kwamba inaitwa the startup nation.

israel inaongoza kwa teknolojia ya maji safi ya bombani wanayouzia hadi nchi za waarabu

kwa uchache tu
 
We kweli akili kisoda.
Mabilioni ya dola yanayotolewa Israel kupanga bajeti ya taifa na bajeti ya ulinzi unasemaje kuwa ni ndogo??
Israel inapewa misaada unconditionally,yani kama ile miaada ingegeuka kuwa ni mikopo basi deni lake lisingekua himilivu kitaifa.
Marekani inaisaidia Israel dola bilioni 3 kila mwaka sawa na shilingi trilioni 7.5, ni pesa nyingi sana kwetu tulipo mataifa masikini lakini kwa Israel ni ndogo sana

Hio pesa haifikii hata asilimia 1 ya uchumi wa Israel,
 
Unaongea nini wewe, unadhani nchi kuwa na uchumi mkubwa hadi iwe na mafuta tu ? hakuna kitu chenye thamani hii dunia kama akili.

Israel ndio nchi inayoongozea kwa teknolojia ya kilimo duniani.

Israel inaongoza kwa kuwa na start ups nyingi zinazofanikiwa duniani kiasi kwamba inaitwa the startup nation.

israel inaongoza kwa teknolojia ya maji safi ya bombani wanayouzia hadi nchi za waarabu

kwa uchache tu
Ona ulivyo na akili finyu.
Kwani nimesema ni mafuta pekee yanamtajirisha Saudi Arabia??
Na kwani uongo kuwa Saudia amempita Israel kiuchumi??
Iran ina nyenzo nyingi za kiuchumi mafuta,madini,bidhaa za viwandani mbalimbali,silaha pia anauza n.k n.k.
Hayo yote unayotaja kuhusu technology ni bleeeh bleeeh bleeeh za kumfanya Israel aonekane yuko vizuri.
Mataifa yaliyo mbele kiteknolojia ya aina zozote yanajulikana.
Nenda China kuna TEKNOLOJIA BORA YA KILIMO AMBAYO ISRAEL HATA ROBO HAIFIKII.
Misri tu ilianza teknolojia ya kilimo cha jangwani kwa hekari ndogo kuzalisha mazao mengi way back hata Israel hajalifikiria hilo.
 
Marekani inaisaidia Israel dola bilioni 3 kila mwaka sawa na shilingi trilioni 7.5, ni pesa nyingi sana kwetu tulipo mataifa masikini lakini kwa Israel ni ndogo sana

Hio pesa haifikii hata asilimia 1 ya uchumi wa Israel,
Pole sana.
Jumla ya dola za kimarekani anazopewa Israel zinafikia takriban 9$ billion kwa mwaka.
Hizo pesa zina cover sehemu ya ulinzi na sehemu ya bajeti ya nchi.
Kama wewe unaona ni ndogo kwanini isingesema ikope inamudu kulipa na sio kupewa kama msaada??
Hivi unajua kuliwahi kutokea mvutano kuwa Israel ianze kujitegemea iache misaada kutoka USA ila Israel officials wengine walipinga wakisema muda bado???
 
Ona ulivyo na akili finyu.
Kwani nimesema ni mafuta pekee yanamtajirisha Saudi Arabia??
Na kwani uongo kuwa Saudia amempita Israel kiuchumi??
Iran ina nyenzo nyingi za kiuchumi mafuta,madini,bidhaa za viwandani mbalimbali,silaha pia anauza n.k n.k.
Hayo yote unayotaja kuhusu technology ni bleeeh bleeeh bleeeh za kumfanya Israel aonekane yuko vizuri.
Mataifa yaliyo mbele kiteknolojia ya aina zozote yanajulikana.
Nenda China kuna TEKNOLOJIA BORA YA KILIMO AMBAYO ISRAEL HATA ROBO HAIFIKII.
Misri tu ilianza teknolojia ya kilimo cha jangwani kwa hekari ndogo kuzalisha mazao mengi way back hata Israel hajalifikiria hilo.
Israel inaongoza kwa technolojia ya kilimo, wao ardhi kubwa ni jangwa huwezi kufananisha na nchi nyingine kama china, ujerumani, n.k. kuna ardhi kubwa ya kilimo.

Pia licha ya kuwa jangwani, Israel wana teknolojia za kupata maji safi mengi mara nne kuzidi uhitaji wao, maji mengine wanauzia nchi za waarabu,

Ukitaka kuamini hilo angalia nchi za kiarabu zinavyopata taabu kulima jangwani mpaka leo
 
Pole sana.
Jumla ya dola za kimarekani anazopewa Israel zinafikia takriban 9$ billion kwa mwaka.
Hizo pesa zina cover sehemu ya ulinzi na sehemu ya bajeti ya nchi.
Kama wewe unaona ni ndogo kwanini isingesema ikope inamudu kulipa na sio kupewa kama msaada??
Hivi unajua kuliwahi kutokea mvutano kuwa Israel ianze kujitegemea iache misaada kutoka USA ila Israel officials wengine walipinga wakisema muda bado???
Hao Israel nikelele nyingi bila misaada itakuwa kama TZ
 
Pole sana.
Jumla ya dola za kimarekani anazopewa Israel zinafikia takriban 9$ billion kwa mwaka.
Hizo pesa zina cover sehemu ya ulinzi na sehemu ya bajeti ya nchi.
Kama wewe unaona ni ndogo kwanini isingesema ikope inamudu kulipa na sio kupewa kama msaada??
Hivi unajua kuliwahi kutokea mvutano kuwa Israel ianze kujitegemea iache misaada kutoka USA ila Israel officials wengine walipinga wakisema muda bado???
Sasa hizo dola bilioni 9 ni kitu gani kwenye uchumi wa dola bilioni 520 ?

Zinafika hata asilimia 2 ?
 
Israel inaongoza kwa technolojia ya kilimo, wao ardhi kubwa ni jangwa huwezi kufananisha na nchi nyingine kama china, ujerumani, n.k. kuna ardhi kubwa ya kilimo.

Pia licha ya kuwa jangwani, Israel wana teknolojia za kupata maji safi mengi mara nne kuzidi uhitaji wao, maji mengine wanauzia nchi za waarabu,

Ukitaka kuamini hilo angalia nchi za kiarabu zinavyopata taabu kulima jangwani mpaka leo
Nimekuambia hiyo teknolojia unayosema alianza nayo Misri muda kabla hata ya Israel.
Na Misri keshaiambukiza hiyo teknolojia Qatar na Kuwait.
Teknolojia za kilimo zipo za aina nyingi kijana,unayosemea wewe ni teknolojia ya kilimo cha jangwani ambayo China pia anaiweza na aliwahi ifanya miaka ya 1990 kwa kugeuza moja kati ya mji jangwa kuwa shamba kubwa la zabibu ambazo viwanda vingi vya wine hutumia zabibu kutoka hilo shamba.
Ukiambiwa hayo mashamba yalikua mji jangwa huwezi amini.
Ukija katika teknolojia zilizobaki za kilimo kwa China hufui dafu.
Kuhusu maji sijakataa.
 
We kweli akili kisoda.
Mabilioni ya dola yanayotolewa Israel kupanga bajeti ya taifa na bajeti ya ulinzi unasemaje kuwa ni ndogo??
Israel inapewa misaada unconditionally,yani kama ile miaada ingegeuka kuwa ni mikopo basi deni lake lisingekua himilivu kitaifa.
Ndio uweke hapa ni mabilioni kiasi gani?
 
Nimekuambia hiyo teknolojia unayosema alianza nayo Misri muda kabla hata ya Israel.
Na Misri keshaiambukiza hiyo teknolojia Qatar na Kuwait.
Teknolojia za kilimo zipo za aina nyingi kijana,unayosemea wewe ni teknolojia ya kilimo cha jangwani ambayo China pia anaiweza na aliwahi ifanya miaka ya 1990 kwa kugeuza moja kati ya mji jangwa kuwa shamba kubwa la zabibu ambazo viwanda vingi vya wine hutumia zabibu kutoka hilo shamba.
Ukiambiwa hayo mashamba yalikua mji jangwa huwezi amini.
Ukija katika teknolojia zilizobaki za kilimo kwa China hufui dafu.
Kuhusu maji sijakataa.
Ok kwa kuwa umekaza mshipa wacha nikutwange na facts.

Israel ni nchi inayoongoza kwa density ya startups za teknolojia ya kilimo, Nchi ndogo lakini kuna starups 400 zimeminyana humo

Netafim ni kampuni ya Israel inaongoza duniani kwa teknolojia za umwagiliaji na kilimo cha kidijitali

Katika ukanda wa nchi za kiarabu, Israel pekee ndio nchi iliyomo kwenye orodha kibao za nchi duniani kiujumla zinazofanya vizuri kwenye teknolojia za kilimo, hata Iran hasogelei.
 
Back
Top Bottom