FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
wao wao ndo wanasema watu wakubali na kuyapokea matokeo kwa nini agome na anajua hatumpendi hata kidogo
masha hebu saini hayo matokeo utuondokee na mradi wako wa Vitambulisho..nakuchukia wewe na issue uliyomfanyia mtoto wa mwenye ferry ya kamanga .
Na ushindwe kwa jina la Yesu..
Na huyu Shekhe Yahaya achukuliwe hatua za unajimu feki
masha hebu saini hayo matokeo utuondokee na mradi wako wa Vitambulisho..nakuchukia wewe na issue uliyomfanyia mtoto wa mwenye ferry ya kamanga .
Na ushindwe kwa jina la Yesu..
Na huyu Shekhe Yahaya achukuliwe hatua za unajimu feki