Habari zenu wanaJF.
Mimi nina tatizo la mapigo ya moyo kwenda haraka haraka sana, kuchoka bila ya kufanya kazi na nikifanya mazoezi kidogo hali inakuwa mbaya, nahema sana.
Nimefanyiwa vipimo vya moyo ECG na ECO, Regency na KCMC nimeambiwa moyo hauna tatizo. Ugonjwa huu umeanza tangu 2003.
Naomba ushauri wenu.
Mimi nina tatizo la mapigo ya moyo kwenda haraka haraka sana, kuchoka bila ya kufanya kazi na nikifanya mazoezi kidogo hali inakuwa mbaya, nahema sana.
Nimefanyiwa vipimo vya moyo ECG na ECO, Regency na KCMC nimeambiwa moyo hauna tatizo. Ugonjwa huu umeanza tangu 2003.
Naomba ushauri wenu.