Msaada:Maumivu ya upande wa kushoto wa kifua

Kinyozi_tz

Member
May 23, 2020
13
24
Msaa nina mdogo wangu amabaye kwa muda sasa anasumbuliwa na maumivu kifuani na maumivu haya huja maraa baada ya kufanya mazoezi au muda mwingine huibuka tu.Tulijaribu kwenda hospitali moja alifanyiwa vipimo vya Moyo ikaonekana hana shida.Vipimo vivyo angaliwa ni ECG,bp pamoja na kiwango cha mafuta kwenye dam yaani blood choresteral majibu yote ni negative.Naombeni ushauri nikifanyike mana tunaona linaweza kuwa tatizo kubwa mbeleni
 
Msaa nina mdogo wangu amabaye kwa muda sasa anasumbuliwa na maumivu kifuani na maumivu haya huja maraa baada ya kufanya mazoezi au muda mwingine huibuka tu.Tulijaribu kwenda hospitali moja alifanyiwa vipimo vya Moyo ikaonekana hana shida.Vipimo vivyo angaliwa ni ECG,bp pamoja na kiwango cha mafuta kwenye dam yaani blood choresteral majibu yote ni negative.Naombeni ushauri nikifanyike mana tunaona linaweza kuwa tatizo kubwa mbeleni
Unahotaji maombi mazito. Kwa Yesu ha.na kisichowezekana
 
Msaa nina mdogo wangu amabaye kwa muda sasa anasumbuliwa na maumivu kifuani na maumivu haya huja maraa baada ya kufanya mazoezi au muda mwingine huibuka tu.Tulijaribu kwenda hospitali moja alifanyiwa vipimo vya Moyo ikaonekana hana shida.Vipimo vivyo angaliwa ni ECG,bp pamoja na kiwango cha mafuta kwenye dam yaani blood choresteral majibu yote ni negative.Naombeni ushauri nikifanyike mana tunaona linaweza kuwa tatizo kubwa mbeleni
Habari!

Bado inahitaji utulivu zaidi kwenye kufatilia utokeaji wa maumivu na unafuu wake unavyopatikana/ kinacholeta nafuu(historia nzuri inahitajika kuchukuliwa) pamoja na mfumo wake wa maisha kwa ujumla.

Pia ukaguzi wa kifua chake na tumbo vizuri(physical examination).

Bado kuna matatizo ya moyo ambayo hayawezi kuonyesha mabadiliko kwenye ECG kama cardiac vascular spasm nk.
Hivyo, moyo bado ni sehemu mhimu wa kutizamwa vyema na vinavyouzunguka.

Ni vyema kupata very experience physician/daktari bingwa wa magonjwa ya ndani au daktari wa familia/family physician watasaidia sana juu ya mgonjwa aelekezwe upande upi baada ya yale pale juu.

Matibabu mema.
 
Habari!

Bado inahitaji utulivu zaidi kwenye kufatilia utokeaji wa maumivu na unafuu wake unavyopatikana/ kinacholeta nafuu(historia nzuri inahitajika kuchukuliwa) pamoja na mfumo wake wa maisha kwa ujumla.

Pia ukaguzi wa kifua chake na tumbo vizuri(physical examination).

Bado kuna matatizo ya moyo ambayo hayawezi kuonyesha mabadiliko kwenye ECG kama vascular spasm nk.
Hivyo, moyo bado ni sehemu mhimu wa kutizamwa vyema na vinavyouzunguka.

Ni vyema kupata very experience physician/daktari bingwa wa magonjwa ya ndani au daktari wa familia/family physician watasaidia sana juu ya mgonjwa aelekezwe upande upi baada ya yale pale juu.

Matibabu mema.
Akhansante sana kaka kwa ushauri
 
Msaa nina mdogo wangu amabaye kwa muda sasa anasumbuliwa na maumivu kifuani na maumivu haya huja maraa baada ya kufanya mazoezi au muda mwingine huibuka tu.Tulijaribu kwenda hospitali moja alifanyiwa vipimo vya Moyo ikaonekana hana shida.Vipimo vivyo angaliwa ni ECG,bp pamoja na kiwango cha mafuta kwenye dam yaani blood choresteral majibu yote ni negative.Naombeni ushauri nikifanyike mana tunaona linaweza kuwa tatizo kubwa mbeleni
Issue hapa ilikuwa ninmatumizi ya kahawa .Ameacha na sasa anaendelea vizuri na asumbuliwi Tena .Tuwe makini sana na matumizi ya kahawa
 
Back
Top Bottom