Hamna madhara..
kwani we mwanamke?Sijui coz sijawahi jaribu!
Hamna madhara..
Naogopa kusema kwa sababu ya vitu viwili....(1)Kuhamishwa thread kwenda jukwaa la wakubwa(2)Kusababishwa kufungwa kwa thread...ila nawasiwasi kuwa hapo hakuna raha..sijui wengine wanasemaje! ila content niuhuni hakuna tofauti na majike dume!!kwakweli ni laha kupita maelezoo BRASH
Katika hii dunia tunamoishi kumeibuka Wanawake wengi kufanya Mapenzi ya Jinsia moja hususani wanawake kwa wanawake wenzao je nini madhara yake??
Madhara sijui ila najua hatari yake katika jamii (Africa Kama ulaya) utaratibu huo unakubaliwa pale unapo endeshwa kwa Siri. As you might know, Kila penye Siri kuna unyanyasaji Fulani wa haki (ni methali tu, don't take it in extenso).Hamna madhara..