Aaanze na mahakama za Mafisadi alizosema ili CCM ife.
Autangazie UMMA wa watanzania kuwa hakushinda kihalali bali Lubuva na Kikwete walimbeba kibabe na kumtangaza mshindi.
Kwa kuwa umetumwa hapa ama umejituma na pengine utapeleka mrejesho, mwambie wazi miongoni mwa Marais walioingia records Za kukosa uhalali wa kuongoza Tanzania na wananchi wake ni yeye POMBE!
Mwambie, taifa hili linaumwa, lina huzuni kubwa na kuomboleza kwaajili ya udhalimu wa kutisha uliofanywa na Tume ya uchaguzi kwa maagizo ya Kikwete na ccm yao.
Mwambie, usione huu ukimya ukadhani sisi watanzania ni mapompompo na mazuzu!
Mwambie, tunakwenda madhabahuni mwa Mungu kumlilia ili kama huyu Mungu tunaemwabudu Yupo, Hakika haitochukua Muda sote tutakuwa mashuhuda!
Mwambie, tunaenda kumuuliza Mungu hivi yeye Ndio Mkuu au Lubuva ama Kikwete hata waweke mteule wao?
Mkuu ungesona mpaka mwisho, nimesema makamba kwa sasa awekwe kando kutokana na kundi lililo nyuma yake, anawaza madaraka makubwa mnoo
huna akili utampangiaje rais utaratibu wake wewe nani usilete chuki binafsi
Tukiyataja yatafika?
Imekuwa kawaida kila serikali ikiingia madarakani au wizara kupata waziri mpya, lazima wanunue magari mapya ya mawaziri wakati yaliyopo ni mazima.Magufuli komesha tabia hii kuepeuka matumizi yasiyo ya lazima. Waziri asiyetaka kutumia gari la zamani ampishe mwingine mwenye uzalendo. Kuna tetesi mawaziri huogopa kutumia magari waliyoyakuta kwa imani za kishirikina. Kwamba waliotangulia walienda nayo Bagamoyo nk.Tabia hii ife kabisa. Tena Magufuli aweke "wanted" kabisa hakuna kununua gari mpya ndani ya miaka miwili.
huna akili utampangiaje rais utaratibu wake wewe nani usilete chuki binafsi
Binafsi cjakuelewa vzr mtoa uzi unataka waziri wa typ gan kama mwakyembe, muhongo hadi january unawaona bado wanaweza kama muhongo em tengeneza cabinet ukiassume kama lowassa na cdm angepita.......
Nape
mtwigulu
Makamba
Kigwangala
Mbunge wa ilemela
Muhongo
Mwakyembe
Mteue na agrey mwanri
Jerry slaa
Jenister muhagama
Simbachawene
Haya ni baadhi ya majembe ya ccm
Nakuunga mkono.. ila muhongo awe waziri mkuu
Mkuu akisanye Pia Kodi sana sana tuu haswa kwa wafanyabiashara wakubwa na wale waliokuwa wanakwepa Kodi hili ndo Liwe La Kwanza Kabisa