What I know Manji hawezi kushindwa kulipa pesa za EPA kama ni miongoji wa walizichukua. Ila ninachofahamu ni kuwa tatizo alilonalo Manji linaweza kuwa limesababishwa na "mipoda" maana Manji ni mtumiaji mzuri wa "unga" na wala huwa hajivungi!
Hawa wataalam wetu wa jf wanaodai Manji anakimbia EPA wanafurahisha baraza tu akili ya kuvuka barabara inatosha kukwambia vitega uchumi alivyonavyo Manji ni zaidi ya pesa ZOTE za EPA sasa cha kumkimbiza nini?
Wakati mwingine ushabiki unazidi mpaka unaathiri our reasoning....