Usiwe unaongea vitu kama huelewi.Kuna waropokaji humu wanasema askari wamejazwa barabarani hili SI KWELI....tutupieni hizo picha za askari tofauti ya hizo za moshi na arusha(PHotoshop)......
Maendeleo gani umepata tangu awamu hii kuingia madarakani?! Hivi hujui kuua ni kosa la jinai na pia ni dhambi kwa Mungu!Na kwa taarifa yenu hata sisi wapenda maendeleo tungewaua tu mgeandamana.
wewe uliandamana sehemu gani na mkoa gani nchi hii?sijui kilichokutekenya ni nini,prove sikuwepo kwenye maandamano,umeshindwa
nikikujibu nitakuwa nakupa promo hapa JF. tufany umeshinda na mimi ni nyumbu. haya nenda ikulu kanywe chaiKama ni hivyo mbona hukujitokeza jana na hilo SHITHOLE lako nyumbu wewe
Champion wa familia yakoMangeKimambi you are the champion.
Ndio.Champion wa familia yako
Kama vyombo vya habari na mitandao inafungiwa ni maandamano gani yataruhusiwa ....labda nipe mfano wa maandamano yeyote yaliyoruhusiwa tangu aingieNgoja nikupe Taratibu za maandamano Duniani. Kwanza kuna kueleza nia ya kufanya maandamano. kwa kuomba/kutoa taarifa kwa mamlaka, kuna kupanga mahali pa kuanzia, route na mahali yatakapoishia hayo maandamano, kuna kuandaa kiongozi wa kuyapokea maandamano hayo atakayefikishiwa ujumbe huo. Kukosekana kwa utaratibu huo sio maandamano ni uvamizi na kiongozi aliyevamiwa hawezi kutoka tu kienyeji ati kuna watu huko nje wanapiga kelele.
Pumbavu zenu na Mbowe wenu. Ole wenuNi mwendo wa kuhamisha magoli tu leo kwa vijana wa UFIPA.....Tuliwaambia mwanamke mwenye LAANA NA MCHAFU kama huyu kamwe hawezi ingiza nchi hii kwenye matatzo...Naishauri tu SERIKALI ICHUNGUZE CCTV CAMERA NA VIDEO MBALI MBALI ZA DIASPORA WOTE walioshiriki kwenye huu UHAINI NA KUCHAFUA TASWIRA YETU iwajue na iwaambie hatuwataki hapa nchini kwetu...Nina amini huko walipo wanajutia
Kuna waropokaji humu wanasema askari wamejazwa barabarani hili SI KWELI....tutupieni hizo picha za askari tofauti ya hizo za moshi na arusha(PHotoshop)......
Miongoni mwa VIONGOZI WA KAMATI KUU CHADEMA waliojionyesha hadharani kuunga mkono maandamano aliyoitisha MANGE(hapa ndipo tunaposema haya maandamano yalikuwa yanaratibiwa na chadema) ni huyu Msigwa....sasa tulio wengi tuna jiuliza mbona hajatekeleza kwa vitendo hata jimboni kwake kwa kuandamana?
Je,haoni hili linamfanya aonekane ni mnafiki.....kwa wananchi wake?
Pia haoni hili linamuondolea uhalali wa kusema wenzake vibaya?maana yeye mwenye kasema lakini kashindwa onyesha vitendo.....
Haoni pia hili litamuondolea kuaminika kwake tena kwa WATANZANIA pale BUNGENI?
Huyu nae aanze kujiandaa kiakili na kimwili...2020 Iringa mjini kwaheri
Mbona hueleweki, umesharidhika na majibu ya swali lako la kwanini Balozi wa Sweden alikimbiwa na wavaa vinyago waliokataa kuonana nae?Kama vyombo vya habari na mitandao inafungiwa ni maandamano gani yataruhusiwa ....labda nipe mfano wa maandamano yeyote yaliyoruhusiwa tangu aingie
Huuu ndio mfano wa uzezeta
Kutumia maBILIONI kutishia watu na kuagiza magari ya lumficha mfalme nani muoga hapo
Na aende tu hanafaida tena kwasasaAmebakiza siku 30 tu - Sheikh alhad