Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,422
.......ila matendo yanaweza.
Baada ya mbwembwe zote za kampenzi zimebaki siku 12 tu kabla ya uchaguzi!
Wanajamvi tusiishie kwenye kusema,kushauri, kukosoa na kulalamika tu, tar 31 tukapige kura jamani maana hizo ndo haswaa zitakazoleta mabadiliko!
Jikomboe kwakuchagua kile unachoona kitakusaidia ndani ya miaka mitano ijayo na sio kuchezea kura yako na kulalamika baadae!!Wakati wa mabadiliko ndio huu!!!
National Election Countdown
12 Days to go!
Uchaguzi mwema!
Baada ya mbwembwe zote za kampenzi zimebaki siku 12 tu kabla ya uchaguzi!
Wanajamvi tusiishie kwenye kusema,kushauri, kukosoa na kulalamika tu, tar 31 tukapige kura jamani maana hizo ndo haswaa zitakazoleta mabadiliko!
Jikomboe kwakuchagua kile unachoona kitakusaidia ndani ya miaka mitano ijayo na sio kuchezea kura yako na kulalamika baadae!!Wakati wa mabadiliko ndio huu!!!
National Election Countdown
12 Days to go!
Uchaguzi mwema!