Ntalukwilasa
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 971
- 1,246
Ila sub za kocha wetu... 😂😂😂
Ila sub za kocha wetu... 😂😂😂
Wajaa LAANA nyinyi MAKENGE,yaani Bunley timu ya pili kutoka mkiani ndio inawatoa jasho mnatoka sare OT,mnaliwa na WANGA nyinyiAnthonyyyyyyyyyyyyy
Biggest club in the world is playing today ni raha tupu wakubwa.View attachment 2975201
Tulikuwa tunadhani wazungu ni watu ambao wako very honest....lakini kwa kupitia mfano wa hyu kocha wenu aisee hyo kauli haina ukweli...Erik ni mzungu wa hovyo kuwahi kumjuaErik ni bora uwe unakaa kimya, Natamani ufanikiwe lakini unanikera kuanzia uwanjani hadi kwenye mahojiano.
=========
Erik ten Hag: "We are one of the most dynamic and entertaining teams in the league at this moment. We are creating loads of chances by playing good football."
Bangi ya Manchester, cha arusha ikasome.Erik ni bora uwe unakaa kimya, Natamani ufanikiwe lakini unanikera kuanzia uwanjani hadi kwenye mahojiano.
=========
Erik ten Hag: "We are one of the most dynamic and entertaining teams in the league at this moment. We are creating loads of chances by playing good football."
alisema nyumbu kila mechi kwenu ni fainali 🤣🤣🤣.. akatoka akasema mnacheza vizuri mnooo.. uyu atawaua kwa pressureErik ni bora uwe unakaa kimya, Natamani ufanikiwe lakini unanikera kuanzia uwanjani hadi kwenye mahojiano.
=========
Erik ten Hag: "We are one of the most dynamic and entertaining teams in the league at this moment. We are creating loads of chances by playing good football."