Tunaomba mechi dhidi ya Real Madrid, nadhani ndio timu pekee itakayoweza kuisimamisha manchester united ya bwana COX.

Nasema uongo ndugu zangu?
Ila kiukweli UTD Academy ina watoto wanakuja fresh sana. Huyu Ethan Wheatley anaeza Shangaza ana Frame ya CF 6.3" kwa Miaka 18!! UTD wanaeza Okoa Pesa Mingi sana Pitia Academy.

Nilikuwa nawaza zaidi AMASS, BRAGIMOV, LACEY na FORSON ila kuna kikundi kinakuja kwa kasi na kinaeza Pita baadhi ya Majina tuliyozani kabla, WHEATLEY, NOLAN, ELYH, JACKSON.

Nina QUOTE zako kadhaa juu kuhusu kipi kati ya MWALIMU/STYLE na Uongozwaji wa MADRID hujatia Neno.
 
Siku hizi nawaamini sana Muppettiers kuliko vyanzo vyengine maarufu, nimewafuatilia kwa hili dirisha la 2023/ 2024 wamekuwa wakiupiga mwingi sana.

unalikumbuka sakata la muarabu na sir jeff katika kuinunua manchester, muppettiers walikuwa mbele ya muda.
habari nyingi za upande wa INEOS wamekuwa wakizidaka kwa usahihi.
1714048258532.png

ngoja niangalie hii video yao walioiweka jana
=============
Wilcox begins assessing Ten Hag (and much more). United targets this summer in defense. The style INEOS leadership have selected to move forward with and how it fits. Sheffield United today, injuries and potential youth sightings.

View: https://www.youtube.com/watch?v=EkRNlfjpfYQ
 
Nimeona tweet ya Rashford analalamika kuwa anafanyiwa abuse, hivi huyu jamaa angekuwa Vini Jr si na mpira angeacha kucheza?

Anakula 300k kwa week watu wanamcriticize apambane analia lia mitandaoni, jamaa anafurahisha sana.
 
Ila kiukweli UTD Academy ina watoto wanakuja fresh sana. Huyu Ethan Wheatley anaeza Shangaza ana Frame ya CF 6.3" kwa Miaka 18!! UTD wanaeza Okoa Pesa Mingi sana Pitia Academy.

Nilikuwa nawaza zaidi AMASS, BRAGIMOV, LACEY na FORSON ila kuna kikundi kinakuja kwa kasi na kinaeza Pita baadhi ya Majina tuliyozani kabla, WHEATLEY, NOLAN, ELYH, JACKSON.

Nina QUOTE zako kadhaa juu kuhusu kipi kati ya MWALIMU/STYLE na Uongozwaji wa MADRID hujatia Neno.
Moja wa madogo walioniuma sana kuondoka Kwake ni zidane iqbal.
 
Back
Top Bottom