Man city mbovu Bila Guardiola wala Mancini wala Pellegrini....imeifunga hiyo Manchester United hapo OT mwaka huo huo 2008 2-1...
Sasa tuseme manager Ni pep Guardiola ....katika watu ambao Alex Ferguson hataman kukutana nao live Ni pep ,maana kashaigalagaza hio united mpaka mkono ulikuwa unatetemeka huku mkojo ukiwa unataka kutoka ....
Matokeo ya comparison lazima yatakuwa biased, timu na zama tofauti 2008 na sasa mambo mengi yamebadilika, comparison nzuri ni ya kipindi kile baina ya hizi timu au comparison ya kipindi cha Sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.