JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,309
- 5,464
Mchezo kati ya Liverpool dhidi ya Manchester City umemalizika kwa sare ya 1-1 kwenye Uwanja wa Anfield, matokeo ambayo yanaipa faifa Arsenal kubaki kileleni katika Premier League kwa faida ya magoli mengi ya kufunga
Magoli yaliyoamua mechi ya leo Machi 10, 2024 yamefungwa na John Stones kwa City na Alexis Mac Allister kwa Liverpool.
Baada ya matokeo hayo, Arsenal inaongoza ikiwa na pointi 64 sawa na Liverpool wakati Man City ipo nafasi ya tatu kwa kuwa na alama 63, timu zote zikisaliwa na michezo 10 kukamilisha msimu wa 2023/24 katika EPL.
Magoli yaliyoamua mechi ya leo Machi 10, 2024 yamefungwa na John Stones kwa City na Alexis Mac Allister kwa Liverpool.
Baada ya matokeo hayo, Arsenal inaongoza ikiwa na pointi 64 sawa na Liverpool wakati Man City ipo nafasi ya tatu kwa kuwa na alama 63, timu zote zikisaliwa na michezo 10 kukamilisha msimu wa 2023/24 katika EPL.