Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,929
Kiukweli anastahili sifa,
Hongera sana mamndenyi!
Hapa ndipo tunajuana maana kuna watu wanabana na 'like'wakati wanatumia pc,wale wa kwa simu hilo linaeleweka na siku wakiwa kwa pc huwa tunayaona malike yao ya kufa mtu.
Hongera sana mamndenyi!
Hapa ndipo tunajuana maana kuna watu wanabana na 'like'wakati wanatumia pc,wale wa kwa simu hilo linaeleweka na siku wakiwa kwa pc huwa tunayaona malike yao ya kufa mtu.