Wana JF
PPF wamefukuza kazi mameneja watatu eti ndio waliokuwa wanaanika maovu ya wakurugenzi wa PPF hapa JF.
1. Invisible na Mh. Mod, ni ushahidi gani wanaweza peleka mahakamani kuwa sio?
2.Zitto Kabwe, hoja yako ya kukagua upya malipo ya kijambazi ya milioni 520 kwa mkurugenzi mkuu bwana William Erio ndiyo hasa yanasababisha hili, aliyekuwa mhasibu Mkuu na kuwakatalia kuwa hawastahili naye wamemfukuza.
3. Mh. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ingilia kati vinginevyo hakuna mfanyakazi atakayeona mali za umma zinachezewa azizuie. kila mmoja ataacha maana malipo ya kujitolea kuokoa mali za umma ni yeye mteteaji kuuliwa na wezi.
4. Serikal, PCCB, Usalama wa Taifa na Bunge waingile kati.
PPF wamefukuza kazi mameneja watatu eti ndio waliokuwa wanaanika maovu ya wakurugenzi wa PPF hapa JF.
1. Invisible na Mh. Mod, ni ushahidi gani wanaweza peleka mahakamani kuwa sio?
2.Zitto Kabwe, hoja yako ya kukagua upya malipo ya kijambazi ya milioni 520 kwa mkurugenzi mkuu bwana William Erio ndiyo hasa yanasababisha hili, aliyekuwa mhasibu Mkuu na kuwakatalia kuwa hawastahili naye wamemfukuza.
3. Mh. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ingilia kati vinginevyo hakuna mfanyakazi atakayeona mali za umma zinachezewa azizuie. kila mmoja ataacha maana malipo ya kujitolea kuokoa mali za umma ni yeye mteteaji kuuliwa na wezi.
4. Serikal, PCCB, Usalama wa Taifa na Bunge waingile kati.