Patriote
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 1,718
- 1,047
Mtoa habari kashindwa kutaja majina na kuweka sakata lote. Im giving PPF Mgt benefit of doubt.
Je barua zao za kufukuzwa kazi zinasema wamefukuzwa kwa sababu ya JF? Tuwe waangalifu JF isije tumika kama kichaka cha kuficha maovu ya watu.
Isije ikiwa watu amechemsha au wamekwapua huko halafu wanasingizia JF
Mtoa habari kashin
Ni kweli tuwe analytical kidogo, watandaze hapa hizo barua za kufukuzwa kazi ilitupate the basis to argue on, otherwise hizi ni just hearsay ambazo zitatupotezea muda wetu hapa.