Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,446
Wakuu nilistaajabu mama alipo nipigia simu na kuniambia nioe mchumba wangu wa zamani ambae tumesoma wote primary toka darasa la kwanza mpaka la saba secondary na kungineko tulisoma tofauti na kila mtu akaendelea kivyake lakini tunapigiana cmu na kupeana hi ishu kubwa mpaka tukatengena yeye ameokoka yupo na Yesu mm bado ananiita wa Mataifa nilimweleza ombi la maza hili kasema atakuja tuongee wadau mchango tafadhari.