Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Ok,hebu tuangalie mantiki za hoja zenyewe,je kisheria kweli Mrema hajakashifiwa?Maanke kumuita mtu Mhuni si ni kumdhalilisha?Sasa hapa kisheria haya madai ya Mrema yamekaaje?
Wanasisa wa Bongo sijui kwa nini wanapenda kuropoka namna hii,pia mtu wa kiwango cha sitta kutoa maneno kama hayo kwa mtu kama Mrema pia si ni tatizo?
Mrema pia nae aache kujitafutia umaarufu usio na maana
Wanasisa wa Bongo sijui kwa nini wanapenda kuropoka namna hii,pia mtu wa kiwango cha sitta kutoa maneno kama hayo kwa mtu kama Mrema pia si ni tatizo?
Mrema pia nae aache kujitafutia umaarufu usio na maana