Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,272
- 2,035
Leo nimepita pale Magomeni Usalama yalipo Makao Makuu ya Chama cha TLP kilichokuwa kinaongozwa na Hayati Kada Augustino Lyatonga Mrema.
Jengo la Chama limechakaa na inavyoonekana hakuna shughuli zozote za Kichama zinazoendelea pale.
Tunaposema Vyama vingine sio vya Upinzani ni Pamoja na TLP.
Inaonyesha TLP kilikuwa Chama Binafsi cha Mrema kwa ajili ya kuvuruga Upinzani na ndio maana Mrema aliweza kumnunulia Fomu mgombea Urais wa Ccm Hayati Magufuli na Magufuli baada ya Kuwa RAIS akamtunuku CHEO Bw. Mrema.
Kuthibitisha kuwa TLP kilikuwa Chama Binafsi cha Mrema mbona toka Mrema Afariki na TLP ni kama kimekufa? Hakuna kiongozi yoyote anasikika kukiongoza.
Jengo la Chama limechakaa na inavyoonekana hakuna shughuli zozote za Kichama zinazoendelea pale.
Tunaposema Vyama vingine sio vya Upinzani ni Pamoja na TLP.
Inaonyesha TLP kilikuwa Chama Binafsi cha Mrema kwa ajili ya kuvuruga Upinzani na ndio maana Mrema aliweza kumnunulia Fomu mgombea Urais wa Ccm Hayati Magufuli na Magufuli baada ya Kuwa RAIS akamtunuku CHEO Bw. Mrema.
Kuthibitisha kuwa TLP kilikuwa Chama Binafsi cha Mrema mbona toka Mrema Afariki na TLP ni kama kimekufa? Hakuna kiongozi yoyote anasikika kukiongoza.